ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,405
- 1,014
Mawaidha mazuri lakini Manji alikwisha kuuza hicho kiwanja kwa Mtu mwingine ambae pamoja na bakwata walimshtaki sh. Ponda sijui kwanini Manji alaumiwe peke yake wakati wauzaji bakwata wameuza viwanja kwa watu wengi tu na zaidi ya hayo wamewashitaki mashehe waliowapinga lakini hawasomewi ahlul badr, kwanini ni Manji tu?