Kuna kitu unakijua. Sio bure. Mbona humdadisi yule Dr. Wa kule Kwasadala ?Waasalamu tupeane taarifa kuhusu mshindi wa jimbo La kinondoni Mtulia mbona kimya sana vipi keshaapishwa.?
Vipi kapona ule ugonjwa uliomkumba waMkuu ataapishwa bunge lijalo la April,uwe mpole

Kamuulize huyo mkapa kwanini hakanyagi pemba? popo bawa kamfanyia kitu mbayaWalishindwa kumsomea Mkapa kipindi kile amewafanya wakimbizi kule Mombasa.
Kamuulize huyo mkapa kwanini hakanyagi pemba? popo bawa kamfanyia kitu mbayaWalishindwa kumsomea Mkapa kipindi kile amewafanya wakimbizi kule Mombasa.
Hahah Mkapa aje kijiji cha Pemba kufanha nini sasa mkuu,yaani majiji huko Dar,New york aje Pemba hahah,ajabu sana aiseeKamuulize huyo mkapa kwanini hakanyagi pemba? popo bawa kamfanyia kitu mbaya
Me nimehisi yuko mapumzikoni baada ya mikiki ya Kazi ngumu ya kampeni,Kuna kitu unakijua. Sio bure. Mbona humdadisi yule Dr. Wa kule Kwasadala ?
Kumbe hizi habari ni za kweli. Nimezisikia leo kuwa jamaa kadata nikadhani masihara
Sorry,Asalaam wote humu ndani,
Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaoneka? Mbona hajaapishwa?
Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.