Yupo wapi huyu Bilionea wa kiarusha, Elisante?

Yupo wapi huyu Bilionea wa kiarusha, Elisante?

Ni pm. Nikukaribishe Bongo Dar es Salaam. Uje uone watu wanavyotafuta pesa kila siku na starehe kila siku. Umjui nani ana pesa nyingi nani anapesa chache. Watu kimya kimya, misifa ya kijinga hamna. Dully Sykes kama uliamini wewe mshamba kama nyinyi watu wa Arusha maisha yenu ya kama watu wazamani. Washaaammmbbaa!!!!!!!!!

Kweli mkuu, mimi nimesoma arusha pale Ilboru, mananas wa kule wana ujanja wa kale sana ..yaani mambo za zamani!
 
  • Thanks
Reactions: T11
Pukudu kweli unamkumbuka vema! Ilikuwa yapata mwaka 1996 alishawanyiwa mambo hayo na hao vijana wa Marehemu Babu Sambeke. Na kwa sasa lile Vx aliyekuwaga nayo hana ameuzaga akanunua Ford Range hizi pickup na yupo Mererani ni borker wa madini bila ya kukosea!

Copy kwa Preta
aka2030


hivi huyu mtoto wa Mwanda Elisante Stanley aka Santeee si inasemekana aliliwaga kiboga na wapambe wa Bob Sambeke... Tangia hapo akawa kimyaaaa
 
Last edited by a moderator:
Nakwambia jaribu oene! Ingia House of Wine kunywa bia 3 halafu zungusha round mbili, halafu nenda QX baa na Boogaloo fanya hivyohivyo kama ulivyofanya hapo house of Wine kesho rudi House of Wine kama hawajakuita KIFARU! Huo ndio mji wa Arusha! Demu ukishamchomea nyama nusu kilo na bia tatu lazima akuzalie mtoto!
Well said
 
Hahahaha!! Mkuu umeniacha hoi sana,,Mimi nashangaa mara oooh fulani mjanja wa Arusha enzi hizo alitesa sana sijui kwamtoro ndugu yangu na sisi tukianza kuwataja wajanja wetu wa Dar wa enzi hizo patatosha humu ndani?Kwanza kila mtu/kijana aliyezaliwa Dar nimjanja na ni vigumu sana kutambua hiyo kitu.Ni upimbi tu na ulimbukeni jitu limeishia darasa la pili kabahatika kumiliki vimigodi akipata jiwe akiingia mjini Maskini wote watamkoma siku hiyo,nimesema masikini kwa sababu siku zote maskini ndio wako na viherehere vya kujifanya wanafuatilia/kuyajua maisha ya watu.Eti fulani alikuwa anakamata totozz kwa kwenda mbele.....huh!! Stupid#Team Downtowners

Umenisoma vizuri. Haya majitu Bhana, washamba sana. Mara kawamaliza watoto wa mawenzi, mara alisababisha nani na nani wa weruweru wafe. Sasa hizi ni sifa au akili finyu. Madada zao ndio usiseme, wanajifanya wapo kipesa zaidi. Ila kwa sisi wa Dar awajaribu sababu still washamba wapo kilometa 2000 nyuma, wanawaweza hao hao mapimbi wenzao
Watu tupo na pesa zetu za kutosha. Familia zetu ndio zinazo fahamu.
 
Kha ha ha ha ha haaaaaaa!!
Ndallo acha zako Kamanda!

Uwewashusha dada zetu!


Nakwambia jaribu oene! Ingia House of Wine kunywa bia 3 halafu zungusha round mbili, halafu nenda QX baa na Boogaloo fanya hivyohivyo kama ulivyofanya hapo house of Wine kesho rudi House of Wine kama hawajakuita KIFARU! Huo ndio mji wa Arusha! Demu ukishamchomea nyama nusu kilo na bia tatu lazima akuzalie mtoto!
 
Last edited by a moderator:
Ni pm. Nikukaribishe Bongo Dar es Salaam. Uje uone watu wanavyotafuta pesa kila siku na starehe kila siku. Umjui nani ana pesa nyingi nani anapesa chache. Watu kimya kimya, misifa ya kijinga hamna. Dully Sykes kama uliamini wewe mshamba kama nyinyi watu wa Arusha maisha yenu ya kama watu wazamani. Washaaammmbbaa!!!!!!!!!

ahahahahahahaaaaaaaaaaa_wewe wakuja,...mimi dar nipo tangu kipindi cha AM_wewe umekuja kipindi hiki cha FM unajishebedua,...kama ni watu wenye sifa za kijinga basi ni dar na mwanza,
 
Umenisoma vizuri. Haya majitu Bhana, washamba sana. Mara kawamaliza watoto wa mawenzi, mara alisababisha nani na nani wa weruweru wafe. Sasa hizi ni sifa au akili finyu. Madada zao ndio usiseme, wanajifanya wapo kipesa zaidi. Ila kwa sisi wa Dar awajaribu sababu still washamba wapo kilometa 2000 nyuma, wanawaweza hao hao mapimbi wenzao
Watu tupo na pesa zetu za kutosha. Familia zetu ndio zinazo fahamu.

ahahahahahahahahaaaaaaaaaaa_haya mkuu.
 
duh,

naona sasa mada imehama nna naona ni mpambano ni kati ya wajanja wa Dar na Arusha town, 'ati nani mjanja?'

Sijui lakini haoa naona lazima apatikane mshindi

Lol!
 
Umenisoma vizuri. Haya majitu Bhana, washamba sana. Mara kawamaliza watoto wa mawenzi, mara alisababisha nani na nani wa weruweru wafe. Sasa hizi ni sifa au akili finyu. Madada zao ndio usiseme, wanajifanya wapo kipesa zaidi. Ila kwa sisi wa Dar awajaribu sababu still washamba wapo kilometa 2000 nyuma, wanawaweza hao hao mapimbi wenzao
Watu tupo na pesa zetu za kutosha. Familia zetu ndio zinazo fahamu.
Ameeeeen
 
Nakwambia jaribu oene! Ingia House of Wine kunywa bia 3 halafu zungusha round mbili, halafu nenda QX baa na Boogaloo fanya hivyohivyo kama ulivyofanya hapo house of Wine kesho rudi House of Wine kama hawajakuita KIFARU! Huo ndio mji wa Arusha! Demu ukishamchomea nyama nusu kilo na bia tatu lazima akuzalie mtoto!

Sina uhakika unaelewa unachokisema au unatania. Wale watu wanapesa bwana! Pesa kutoka mgodini huko haina uchungu wa kuitumia. Na ninachowapendea wanapeleka watoto wao the best schools the money can talk!
 
Sio kuwashushua Mkuu LiverpoolFC hiyo ndio taarifa yenyewe na anayebisha aingie uwanjani nimpe Live bila Chenga!

Wapi wewe labda kama unawamendea mashori wa kambi ya fisi ndio utawadanganya na nyama choma na biere.
 
ahahahahahahaaaaaaaaaaa_wewe wakuja,...mimi dar nipo tangu kipindi cha AM_wewe umekuja kipindi hiki cha FM unajishebedua,...kama ni watu wenye sifa za kijinga basi ni dar na mwanza,
Ha ha ha ha!! Nakupa dakika 3 kabla ujauliza, nijibu.
Unajua EKARUSI ni nini?
 
hivi huyu mtoto wa Mwanda Elisante Stanley aka Santeee si inasemekana aliliwaga kiboga na wapambe wa Bob Sambeke... Tangia hapo akawa kimyaaaa
Ewaaaaa...ndiyo huyo huyo. Baada ya kuliwa kiboga aliamua kuokoka . sasa hivi ni yeye na kanisa na biblia
 
Ni kweli aliliwa kiboga na Babu mwenyewe pia alishiriki lakini ni mzoefu hata huko nyuma pia aliliwaga kiboga tena na kina chonjo.

Aisee kwa hiyo Alisante kwa sasa atakuwa anamrudishia Mungu sifa na utukufu kwa kuwa aliyemla kiboga kadondoka na ndege? Hujafa hujaumbika!!! Aise kutafutiwa genge la wahuni wakakubakua yaani inauma sana. Hakika yule tajiri yetu wa Dar kule Mbezi hakuweza kuvumilia kuliwa kiboga na genge na ndiyo maana aliamua kujimaliza. Namsifu Elisante hakufanya maamuzi ya kufa bali alimrudia Mungu na kuokoka.
 
duh,

naona sasa mada imehama nna naona ni mpambano ni kati ya wajanja wa Dar na Arusha town, 'ati nani mjanja?'

Sijui lakini haoa naona lazima apatikane mshindi

Lol!

Ha ha ha Lara 1 naona mada imehama ila ukweli Arusha watu ni washamba kweli, Arusha inajina kubwa sana kuliko ilivyo kiuhalisia... Nilienda kwa jamaa mmoja kila siku story za kwao A town sijui njiro yaani nimefika hapo njiro anapopaongelea daily ni kama Tabata segerea tu au kinyerezi, yaani kule nyumba ikiwa na geti tu na ka corolla unaonekana upo tofauti wakati bongo ndo normal life...

Halafu unapochoka hao watu wanaozungumziwa A town sijui ndo Sambeke sijui Mawalla yaani mimi wenyewe nimewajua juzi baada ya kufa kwa kusoma news zao jamii forums,,

Tukatae tukubali Bongo hadi umeki headlines lazima uwe Levo za kina Thabeet maana ma CEO wote wa kampuni kubwa wanaishi hapa, Makatibu wakuu, mawaziri, Raisi, Marubani wa ndege sijui, Wafanyabiashara wakubwa ile Listi ya Forbes magazine wapo hapa,, bila kusahau wale Head of Department, Senior managers wa kampuni kubwa zote Wapo dar so Hadi uwasumbue watu wakuongeleee lazima uwe na kitu cha ziada,,

Halafu vile vile watoto wa Dar wanatembea sana, hasa hasa wakimaliza form Six matokeo yakija vibaya wanakwea pipa kwa fujo na Baada ya muda wanarudi wapo full exposed kiasi kwamba huwatishi kizembe zembe kwa kuwanunulia bia bar kama watu wa Arusha walivyo,,

Mnisamee wana Apollo lakini kiukweli Arusha bado sana, hata Dar bado sana lakini Arusha ni bado sanaaaaaaaaaaaaaaaa
 
sio kwamba atafurahia kifo cha Bob Sambeke? watu wa a-town miaka hiyo wataelewa nilishamsahau tupo kweli au kafulia?
 
Back
Top Bottom