Yupo wapi huyu Bilionea wa kiarusha, Elisante?

Yupo wapi huyu Bilionea wa kiarusha, Elisante?

Ha aha ha nasikia alipigwa picha kibao wakati zoezi likiendelea huo ndiyo ukawa mwisho wa matambo yake.

hivi huyu mtoto wa Mwanda Elisante Stanley aka Santeee si inasemekana aliliwaga kiboga na wapambe wa Bob Sambeke... Tangia hapo akawa kimyaaaa
 
yupo sana town.......sijajua anajishughulisha na nini kwa sasa.......ila anaonekana........
tulikuwa tunajua habari zake enzi zile....
saa hii kila mtu anajua kutafuta pesa........

ahahahahahahahahaahahaaaaaaaaa_Preta mimi bado sijajua kutafuta hizo pesa,..anyway_ukipata naomba unigawie au nifundishe kuzitafuta..!
 
ahahahahahahahahaahahaaaaaaaaa_Preta mimi bado sijajua kutafuta hizo pesa,..anyway_ukipata naomba unigawie au nifundishe kuzitafuta..!

Ha ha ha.........nitakupitia kijiweni nikufundishe namna.......
 
Ni kweli aliliwa kiboga na Babu mwenyewe pia alishiriki lakini ni mzoefu hata huko nyuma pia aliliwaga kiboga tena na kina chonjo.

Hahaha wakina chonjo hawakumvuna bhana ni Bob Sambeke ndio alifanya hiyo kazi.
 
Namkumbuka kwa kusababisha ajali ya gari iliyoondoa uhai wa suzy na linda mwaka 1995,meen it was bad!!
 
Namkumbuka kwa kusababisha ajali ya gari iliyoondoa uhai wa suzy na linda mwaka 1995,meen it was bad!!

ilikuwaje mkuu mpaka akasababisha hiyo ajali.halafua hao maduu si walikuwa wakusoma? ilikuwakuwaje hebu dadavua
 
Tatizo la mji wa Arusha ukishakua na vijisenti vya kuzungusha round ya bia na kula nyama Choma eti wewe ni mfanyabiashara maarufu! mimi nachoka sana jamani:frusty:
 
huyu elisante alikuwa ana ujanja wake wa kiarusha ni wa kipimbi sana!aliingia madebeni dar es salaam mjini akataka dj azime mziki ili aimbe!!zoezi halikufanikiwa kwani wazungu wa unga wa ilala na migomigo wakati huo walimtoa sana nishai kwa kutaka kuleta uarusha ndani ya dar es salaam.....
 
Watu wa Arusha bado wapo nyuma sana mpaka leo. Ujanja wao wa kishambashamba. Misifa ya kimangi meza, Yaani nyinyi watu wa Arusha Form Four sisi wa Dar sio form six tena. Dar chuo kikuu.
Mara mchomane visu, mara mlane viboga. Mabwege nyinyi
 
Tatizo la mji wa Arusha ukishakua na vijisenti vya kuzungusha round ya bia na kula nyama Choma eti wewe ni mfanyabiashara maarufu! mimi nachoka sana jamani:frusty:
kama huna hela wewe tulia maana kila mahali ni hiyo tu iunaandika lol,kwani ulishasikia mgonjwa wa ukimwi akisemwa kafa nao .utasikia sukari ,presha strok unakuaje mshamba ariff
 
Watu wa Arusha bado wapo nyuma sana mpaka leo. Ujanja wao wa kishambashamba. Misifa ya kimangi meza, Yaani nyinyi watu wa Arusha Form Four sisi wa Dar sio form six tena. Dar chuo kikuu.
Mara mchomane visu, mara mlane viboga. Mabwege nyinyi

Yaani wewe ndio boya kweli kwani dar hawachomani visu,viboga(muulize dully sykes) and co....pumbafu_sijui wewe dar unaionaje,..au ndio umefika mwaka 2010 ulipojiunga na Jf,..wewe unafikiri dar ndio ulimwengu_wa kuja wewe,....dar kwenyewe ulikuja ulipojiunga UDSM...ACHA USHAMBA
 
Tatizo la mji wa Arusha ukishakua na vijisenti vya kuzungusha round ya bia na kula nyama Choma eti wewe ni mfanyabiashara maarufu! mimi nachoka sana jamani:frusty:

Huu ni ukweli......
 
Yaani wewe ndio boya kweli kwani dar hawachomani visu,viboga(muulize dully sykes) and co....pumbafu_sijui wewe dar unaionaje,..au ndio umefika mwaka 2010 ulipojiunga na Jf,..wewe unafikiri dar ndio ulimwengu_wa kuja wewe,....dar kwenyewe ulikuja ulipojiunga UDSM...ACHA USHAMBA MBWIGA WEWE..!
Ni pm. Nikukaribishe Bongo Dar es Salaam. Uje uone watu wanavyotafuta pesa kila siku na starehe kila siku. Umjui nani ana pesa nyingi nani anapesa chache. Watu kimya kimya, misifa ya kijinga hamna. Dully Sykes kama uliamini wewe mshamba kama nyinyi watu wa Arusha maisha yenu ya kama watu wazamani. Washaaammmbbaa!!!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: T11
kama huna hela wewe tulia maana kila mahali ni hiyo tu iunaandika lol,kwani ulishasikia mgonjwa wa ukimwi akisemwa kafa nao .utasikia sukari ,presha strok unakuaje mshamba ariff
Nakwambia jaribu uone! Ingia House of Wine kunywa bia 3 halafu zungusha round mbili, halafu nenda QX baa na Boogaloo fanya hivyohivyo kama ulivyofanya hapo house of Wine kesho rudi House of Wine kama hawajakuita KIFARU! Huo ndio mji wa Arusha! Demu ukishamchomea nyama nusu kilo na bia tatu lazima akuzalie mtoto!
 
Watu wa Arusha bado wapo nyuma sana mpaka leo. Ujanja wao wa kishambashamba. Misifa ya kimangi meza, Yaani nyinyi watu wa Arusha Form Four sisi wa Dar sio form six tena. Dar chuo kikuu.
Mara mchomane visu, mara mlane viboga. Mabwege nyinyi
Hahahaha!! Mkuu umeniacha hoi sana,,Mimi nashangaa mara oooh fulani mjanja wa Arusha enzi hizo alitesa sana sijui kwamtoro ndugu yangu na sisi tukianza kuwataja wajanja wetu wa Dar wa enzi hizo patatosha humu ndani?Kwanza kila mtu/kijana aliyezaliwa Dar nimjanja na ni vigumu sana kutambua hiyo kitu.Ni upimbi tu na ulimbukeni jitu limeishia darasa la pili kabahatika kumiliki vimigodi akipata jiwe akiingia mjini Maskini wote watamkoma siku hiyo,nimesema masikini kwa sababu siku zote maskini ndio wako na viherehere vya kujifanya wanafuatilia/kuyajua maisha ya watu.Eti fulani alikuwa anakamata totozz kwa kwenda mbele.....huh!! Stupid#Team Downtowners
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom