Yule ambae humtaki ndio mumeo

Yule ambae humtaki ndio mumeo

Hahah ishu ya kuw wife material ni mtambuka sana ila wanawake ni kama vile wanajisahaulisha sijui. If you behave like a woman 100% hutokosa mume wa kukuoa.
Kuna kitu wanaume wengi wanakitaka ili waoe ila wanawake wengi wanafeli hapo.
Hizi kauli zenu basi nikizisikia najisemea tu "hiiiiiiiiiiiii"
 
Kuna hii blog wanaiba sana habari za humu
Screenshot_20190318-134920.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdada kaniambia maneno ya kama huu uzi jana tu,muda ukishaenda hawa wenzetu ndio uwa wanajuta na kukumbuka yaliyopita lkn inakua too late!
Bahati mbaya huwa wanajielewa tayari wakiwa wameshaachiwa na mtoto juu.!!
Yaani anataka kurudi kwako akiwa na alama kabisa ya kukukataa!!
Ukimkubalia unakuwa mjinga wa karne

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndivyo inakuwaga lakini mimi nashauri wadada mtizame mioyo yenu iko wapi ikiwezekana olewa na unaempenda

Kuishi na mtu kisa tu ye anakupenda sana lkn wewe humpendi kivile ni mtihani mzito sana kuzidi matusi ya humu kwa masingle mama

Sent using Jamii Forums mobile app

Bado tupo husband material sema tuuu wadada wa siku hizi daaahh! Toka vailet mpaka tetema bado upo kwenu mmmhhh
 
Kuna jamaa mmoja last year katikati kwenye mishe tumekutana hukoo.....Basi jamaa full kuzimika na mimi, aaahg! Nikamuona tapeli tu....kumbe ni ananipenda kweli asee, ...tatizo moyo wangu haumkubali kabisa, staff mwenzangu ananiambia iko siku utaukumbuka huu upendo, halafu mkaka mzuri tu, na anafocus na life but duuh moyo bana unagoma/ukagoma mazima![emoji16][emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
Likes nyingi watu wameona kichuguu 99.99% ni ndume, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom