Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,399
- 191,514
Hahah asee nishakaribia ila hiki kikombe kichungu kama kahawa
Hahah asee nishakaribia ila hiki kikombe kichungu kama kahawa
Ukweli mtupuMtu kama humpendi hutamsamehe akikuosea
Hutamvumilia katika magumu yake ugonjwa uchumi nk
Hutafurahia nae tendo la ndoa utatoka nje kumtafuta wa kukufurahisha
Utaishi kinafiki sana usoni tabasamu huku moyoni ni majuto na kilio
Hizo ni hasara nazoziona....
Sent using Jamii Forums mobile app
Olewa na anayekupenda dear people learn to love!!!Kuna jamaa mmoja last year katikati kwenye mishe tumekutana hukoo.....Basi jamaa full kuzimika na mimi, aaahg! Nikamuona tapeli tu....kumbe ni ananipenda kweli asee, ...tatizo moyo wangu haumkubali kabisa, staff mwenzangu ananiambia iko siku utaukumbuka huu upendo, halafu mkaka mzuri tu, na anafocus na life but duuh moyo bana unagoma/ukagoma mazima![emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tupo husband material sema tuuu wadada wa siku hizi daaahh! Toka vailet mpaka tetema bado upo kwenu mmmhhh
Umesahau kua mwanaume ana asilimia90 ya kuchagua ampendae kumuoa ila kwa mwanamke ni 10 kujichagulia mwanaume wa kumoa kueni makin na muda
Umeona eeeh shost!..hapo ndo pagumu!tatizo linakujaga hapo ...moyo unagoma kabisa kua nae hata kiuongo na unaona kabisa mtu anakupenda na ana future na wewe but moyo hautak na ukilazimisha unaeza ukala nae denda ukatapika
We ze - insect sio wote...wengine tunatumia akili!Halafu wanawake linapokuja suala mapenz huwa akili zao zinasoma zero kabisaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
We ze - insect sio wote...wengine tunatumia akili!
So sio wanawake wote!
Sent using Jamii Forums mobile app
eti ze-insect [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]We ze - insect sio wote...wengine tunatumia akili!
So sio wanawake wote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Freshi tu wana mtoto wa pili sahivi. Yani sista alikuwa na jamaa wa usalama kipande ya mtu akamtia goli halafu akawa anazingua kuoa. Huyu muhuni ndio akaja kuseleleka zake na kuoa kabisa maana sista yuko full gwamba hela ipo na shule nyingi tu halafu hana makuu mpole huyoo!!!Haaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....naomba tu yasinikute tu haya khaaa!
Kisa chako kitamu sana, huyo muhuni wanaendeleaje na sista ako mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app