Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,810
bob mikwaraYupi?
bob mikwaraYupi?
Ni ku leave zio ku left.Jioni ya leo utaanza ku left magroup
Huo utaratibu wa ku leave magrup upoje?Saaizi ununio hamuogopi dawa kuwaleftisha magrup na kuwatupa saohill forest
Mbona Mkulu tupo nae huku ChattleNilikuwa siamini ila binafsi nishaziona mara tatu na Jana baada ya ile mvua nimekutana nazo mbezi beach.
Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.
Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.
Yuko wapi Anjela Kairuki?
Sorry Mkuu wangu,yuko maternity leave,
Khaa mpka jana???? Hahahaaaa nisiwe mnafiki yalishwah nipita hapo africanaNilikuwa siamini ila binafsi nishaziona mara tatu na Jana baada ya ile mvua nimekutana nazo mbezi beach.
Tuta muangalia zaidi kwenye kichwa huwenda akamranda baba zaidi ya mama japo wote ni wazazi.Je huwa inatokea mtoto akafanana na babaye?...
kwamba anatekeleza ile kauli ya fyatueni maana watasoma bule.yuko maternity leave,