Aisee
Hivi ni kweli?
Wakubwa wanafaidi aiseeYes...yupo China, Sizonje keshamzalisha. Na Jokate anafuata.
Kwa maternity alisha maliza?Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.
Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.
Yuko wapi Anjela Kairuki?
Kwani yeye ana title gani zaidi ya uwaziri?yuko maternity leave,
Kila siku jioni ving'ora hupita kwenda kumsabahi.
Twambie mkuuKwani hujui alipo?
Duuu hiyo lugha ya malkia ni sheedahZile tuhuma za kichanga huenda ni kweli kwani kwa "furasituasheni " zake huyu bwana angeshamvua uwaziri siku mingi!!!
Ana umuhimu gani kwa taifa hadi kupewa uzito huo?Yupo maternity leave
Lakini wapo manaibu wake wawili ambao wameteuliwa na Mkulu, kumsaidia "mama" wakati yupo likizo ya uzazi
Mama anachapa kazi sana. Yupo mikoani.Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.
Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.
Yuko wapi Anjela Kairuki?
Hzi mh balozi hazipendiyuko maternity leave,
Kila siku jioni ving'ora hupita kwenda kumsabahi.
Atapewa nafasi kati ya zile 10Amepigwa mtama kura za maoni
Hongera kwakeYuko likizo ya uzazi. Hongera yake Mungu ampe afya njema yeye na mwanae
Kwake pia ni chatoKwani yeye ana title gani zaidi ya uwaziri?