Atakuwa ametumwa India kujifungua!Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.
Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.
Yuko wapi Anjela Kairuki?
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaa!!!!!Jioni ya leo utaanza ku left magroup
kama kweli hongera zake she is 1976 born amepata mtotoYuko likizo ya uzazi. Hongera yake Mungu ampe afya njema yeye na mwanae
Mbona humuombei mwanaume alie zaa nae mkuu? Nae anamchango wake hapoYuko likizo ya uzazi. Hongera yake Mungu ampe afya njema yeye na mwanae
King’ora cha mzee babaOk,,king'ora cha ambulance au
Yupi?King’ora cha mzee baba
Hivi ile stori ya mfalme Daudi Kuzaa na mke wa mfanyakazi wake kisha kumtupa mstari wa mbele kwenye uwanja wa mapambano ni kweli!?Mbona nasikia hawasalimiani na mama Janeth, kwani tatizo ni nini?
Wa magogoni. Kwa mujibu wa Da MangeYupi?
Ni kweli kabisa, kuna mfalme mmoja mwehu ameshawahi kuzaa na dada wa mke wake pia!Hivi ile stori ya mfalme Daudi Kuzaa na mke wa mfanyakazi wake kisha kumtupa mstari wa mbele kwenye uwanja wa mapambano ni kweli!?
Mic u Crazly!!!!!Yuko likizo ya uzazi. Hongera yake Mungu ampe afya njema yeye na mwanae
Duuh! Haya mapya sasa?! Ni yule mfalme mwenye fruastresheni amaNi kweli kabisa, kuna mfalme mmoja mwehu ameshawahi kuzaa na dada wa mke wake pia!
Unataka kutekwa ?Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.
Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.
Yuko wapi Anjela Kairuki?
Exactly!Duuh! Haya mapya sasa?! Ni yule mfalme mwenye fruastresheni ama