MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Mimi nazungumzia balozi wa Zimbabwe ambaye alirudi na kukuta mke wake ana mtoto wa Mugabe na anaishi ikulu sasa sijui wewe ungefanya niniKwani mabalozi huwa hawarudi kuona familia zao?
Mimi nazungumzia balozi wa Zimbabwe ambaye alirudi na kukuta mke wake ana mtoto wa Mugabe na anaishi ikulu sasa sijui wewe ungefanya niniKwani mabalozi huwa hawarudi kuona familia zao?
Ha ha ha! Balaa Kubwa! Mie bora ni comment kwako mkuu, naogopa ku coment kwenye post yake nisije ambiwa "mchochezi" bure😛![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mna maneno wakuuu, haha haha haha
Kibali cha kusafiri Nje ya Nchi kampa nani?Siyo
Siyo kweli,Mhe.Waziri yupo maternity leave kwa mume wake jijini Beijing.
Atamalizia na Post humu JF kuwa "I am at RISK"Jioni ya leo utaanza ku left magroup
Careful Nini? Pale Ni urais tuu bila hivyo hata denda asingeambuliaB crfl wt wt u sy
Aisee
Hivi ni kweli?
kwikwikwi!!!!!Jioni ya leo utaanza ku left magroup
Zile tuhuma za kichanga huenda ni kweli kwani kwa "furasituasheni " zake huyu bwana angeshamvua uwaziri siku mingi!!!