MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
Kumbe huo uteuzi wa naibu wa pili ni kwa ajili ya kuziba pengo la matenintiYupo "maternity leave"
Lakini wapo manaibu wake wawili ambao wameteuliwa na Mkulu, kumsaidia "mama" wakati yupo likizo ya uzazi
