Yuko wapi Waziri wa Madini Angella Kairuki?

Yuko wapi Waziri wa Madini Angella Kairuki?

Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, Kwenye shughulu za Serikali au hata Kwenye shughuli za Kijamii.
Nilitegemea angetupa Mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu Makinikia na malipo yetu!
Yuko wapi Anjela Kairuki?
yupo njia kutumbuliwa ameshindwa kazi.nasema tutampangia kazi nyingine.
 
Analea, mtoto mpaka afikishe mwaka ndyo atarud ofisin

Kwa sasa wizara anaiongoza mkulu kuweni na amani.
 
Muda wa labour umepitilizaaa nahisi ningekua Mume wake ningemshauri Akae pembeni kwanza , it’s been too much for her and family

Naona mwenendo wa Rais kupelekaa manaibuu wawili madini ni just Incase Angela akiacha kazi

Angela bado mdogo kiumri akae kwanza na Mume wake aongeze mtoto wa nne alafu arudi full politics 2020
 
Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.

Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.

Yuko wapi Anjela Kairuki?
wengine wanafikiri bado yupo utumishi
 
Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.

Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.

Yuko wapi Anjela Kairuki?

Acha kumwonea Mama wa watu! Yaani jujui wakulizwa kuhusu Makinikia? Kwani kwenye Kama alikuwapo?
 
Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.

Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.

Yuko wapi Anjela Kairuki?

Maternity leave
 
Back
Top Bottom