ndio tena pale kwenye bichwa haidanganyiJe huwa inatokea mtoto akafanana na babaye?...
yuko likizo ya uzaziNi muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.
Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.
Yuko wapi Anjela Kairuki?
Hahahahahah huyo jr akichukua bichwa la baba itakuwa balaaAnaleta fonti Ford Jr
wakimvalisha na tumiwani atatisha sanaKachukua ndonga la mshua?
Hahahayuko maternity leave,
Kila siku jioni ving'ora hupita kwenda kumsabahi.
Lipi hilo?Sasa hivi kuna toleo jipya
Dah!!!!Sasa hivi kuna toleo jipya
HahahaaaSasa hivi kuna toleo jipya
HahahaaaSasa hivi kuna toleo jipya