cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,692
- 137,428
Labda ampigie mzee Halima amtumie vocha
Labda ampigie mzee Halima amtumie vocha
kakimbia familia naskiaHuyu kiumbe mbona anauliziwa sana Leo...kunani?
Unampendaje msaliti?Watanzania kweli hatupendani. Ila LijuaLikali jua litamuwakia kwa usaliti na kashfa kwa chama kilichomlea
Huyu kiumbe mbona anauliziwa sana Leo...kunani?
Wanamtaka awawoweHuyu kiumbe mbona anauliziwa sana Leo...kunani?
Kawa konda pale MsamvuJamaani kwa anayejua,hivi mh. Peter Lijualikali yupo wapi kwasasa? Na anajishughulisha na nini?
Je bado yupo kwenye siasa?
Bado anandoto ya kuendelea na siasa au amekata tamaa baada ya Mwendazake?
Pia kama Lijualikali upo unaweza kutujibu wenzako.
Tumekumisi sana mkuu.
Hakuwa mbunge wa Morogoro, alikuwa wa Kilombero, mkoani Moro! Kuhusu alipo, kwani ile kazi ya kufagia choo, ccm walimkatalia!?Yuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.
Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.
Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono Hayati Magufuli.
View attachment 1776096