humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 620
Huyu na mama Susan Kiwanga walinyanyaswa sana na serikali wakiwa wabunge. Ila najua baada ya kuunga mkono juhudi mama Kiwanga alimshangaa huyu dogo.
Tumaini IringaAmesomea UKUTUBI huko iringa na s mwanasheria
kuhamia mjini hakukufanyi kuwa mtoto wa mjiniIna maan wakati wa ubunge hakujenga dar? Au fedha za malipo ya ubunge anashindwa vipi kuish dar?
Na joshua nasar anakazi gani maana na yeye aliahidiwa kazi na.........Alitumiwa na Ndugaye kuichafua cdm na baadae yeye akatupwa kwenye dust bin
Kajikita kwenye uvuvi wa kambare mto KilomberoYuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.
Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.
Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono Hayati Magufuli.
Sasa hivi ni mchungaji wa mbuzi tuNa joshua nasar anakazi gani maana na yeye aliahidiwa kazi na.........
Hahahahaaa waliyataka sasa wameyapata dhambi ya usaliti malipo yake ni hapa hapaSasa hivi ni mchungaji wa mbuzi tu
Hata faragha atakuwa analiaAmalia mbele ya baba mkwe?
Akiwa na mkewe faragha atafanya Nini?
Kabisa mkuu walijiona wao ni bora kuliko cdm.Hahahahaaa waliyataka sasa wameyapata dhambi ya usaliti malipo yake ni hapa hapa
Tatizo hawa vijana huwa hawajifunzi game la siasa kutoka kwa wazoefu,Yuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.
Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.
Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono Hayati Magufuli.
Anabana ganja ngarelooooNa mm naongeza wapi alipo Joshua nassari?
Wala hata hamfahamu kifupi ni useless pussyNamuhurumia sana Nasari kama Mama asipomkumbuka atakuwa Mgeni wa nani
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
ha ha ha ha ha na mlam kalia ndiliAnavu ndipi nanganji
Labda ampigie mzee Halima amtumie vochaTatizo hawa vijana huwa hawajifunzi game la siasa kutoka kwa wazoefu,
Kijana alitaka kukimbia kabla hajatambaa,
Sasa hv sizani kama anaweza hata akampigia cm Jenesta Mhagama
Ajiunge na CHACHANDU
huyu bwege mwaka fulani akiwa mbunge enzi za jpm, aliwahi kutembelea ofisi za taasisi ambayo mimi nafanyia kazi.
kwa kiherehere changu nikamuomba kupiganae selfie cos nilitokea tu kuvutiwa na harakati zake za kisiasa.
alipoanza tu kutumika na ccm na kuanza kulialia bungeni kama mtoto, mvuto wake kwangu ukatoweka na ile picha niliifutilia mbali.
Heeeeh kumbe, bas sawaaah.kuhamia mjini hakukufanyi kuwa mtoto wa mjini
Tatizo hawa vijana huwa hawajifunzi game la siasa kutoka kwa wazoefu,
Kijana alitaka kukimbia kabla hajatambaa,
Sasa hv sizani kama anaweza hata akampigia cm Jenesta Mhagama