Huyu jamaa watu wengi wame mu ignore kwahiyo ntuxi yake inasomwa na watu wachache.Mbona huu uzi ni kama umesahaulika hivi?
Mshikaji wake Mzee Waryoba anajua alipo. Sasa hivi tunamzungumzia Deogratius Ndejembi Mkuu.Mbona huu uzi ni kama umesahaulika hivi?
Naam Shemeji yangu mzuri
Wa kwanza alisharudi ?
Kwahiyo ulitaka awe chawa?Maisha yanaenda kasi sana! Sasa hivi yupo sehemu anajutia kiburi na ufedhuli wake!
Alikuwa akisoma comments maarufu za Gen Z wapiga nyeto mitandaoni na wafuasi wa CDM:_
'Akili kubwa!...
Mkombozi!...
'Bonge la kiongozi',...
'Wenye akili ndogo hawawezi kukuelewa'..
huyu ndio alifaa kuwa Rais.......',
Akajiona tayari bonge la kiongozi, akaleta dharau, akaanza kuenda opposite na kiongozi wake! Akaanza stori za kujipendekeza kwa mwehu Maria Sarungi kwa kummwagia sifa.
Akadhani akijiuzulu nchi itatikisika!
Siku mbili tu watu wameshaanza kumsahau.
Usimalize maneno mkuu.Maisha yanaenda kasi sana! Sasa hivi yupo sehemu anajutia kiburi na ufedhuli wake!
Alikuwa akisoma comments maarufu za Gen Z wapiga nyeto mitandaoni na wafuasi wa CDM:_
'Akili kubwa!...
Mkombozi!...
'Bonge la kiongozi',...
'Wenye akili ndogo hawawezi kukuelewa'..
huyu ndio alifaa kuwa Rais.......',
Akajiona tayari bonge la kiongozi, akaleta dharau, akaanza kuenda opposite na kiongozi wake! Akaanza stori za kujipendekeza kwa mwehu Maria Sarungi kwa kummwagia sifa.
Akadhani akijiuzulu nchi itatikisika!
Siku mbili tu watu wameshaanza kumsahau.
na watakaomdhuru nao watadhuriwa. ni swala la muda tu.Hata kama hatujui aliko lakini Maneno yake aliyosema yanaishi na yataendelea kuishi katika kizazi hiki cha Watanzania na vizazi vinavyokuja! Kwamba alikuwa mwanachama wa CCM:
1.Kupinga utekaji na mauaji ya wananchi
2.Kupinga chuki za kisiasa kati ya vyama
3.Kupinga watu kuwekwa mahabusu kwa uonevu
4.Kuwataka Watanzania kupigania Katiba Mpya kwa faida ya Watanzania na vizazi vyao.