Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,701
- 45,035
Nimemuoa nikamkataza mambo ya mitandao
Nimemuoa nikamkataza mambo ya mitandao
Ama kweli ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu,huyu mdada alimind kibabe face cha KigosiVincent Kigosi anajua alipo wanamtoto.
Hapo ndo sijajua ila watu tuliokiwa nae tulikuwa tuna muita mwarabu. Ila gafla alipotea eneo la bunda nakuja kumuona yupo kwenye shindano la miss TanzaniaBaba yake si mzungu?
Na bado kupigwa na mangumi nikapigwaNoma sana. Watu wana sema alikula boom lako. Au sio wewe?
zamani ujue kulikuwa na mamiss tz wabovu balaa. kama ni hivi, basi hata mimi binti yangu anaweza kushinda umiss
zamani ujue kulikuwa na mamiss tz wabovu balaa. kama ni hivi, basi hata mimi binti yangu anaweza kushinda umiss
Ajiandae na jeuri ya daughter wake na atapelekewa moto huyo mwenyewe ashangaeBinti yako akisoma hii post, sijui kama mtaelewana!
Instagram anatumia jina gan??Anaishi Norway kwa sasa lakini akiwa Bongo huwa anapatikana Maeneo ya Mbezi beach rainbow Hasa shoppers plaza ndo soko kuu la warembo wa Mbezi beach na ma-superstar wa bongo waishio Mbezi.
Instagram anatumia jina gan??
Unaweza kukuta ni jasusi la CIA hapa nchini.Hapo ndo sijajua ila watu tuliokiwa nae tulikuwa tuna muita mwarabu. Ila gafla alipotea eneo la bunda nakuja kumuona yupo kwenye shindano la miss Tanzania