Yuko wapi kijana mtanashati January Makamba?


Jamalm335,
To me January Makamba under this dictatorship government of JPM is banned and doomed for ever!
In most cases weak presidents always chose weak and loyal personnel under them in order to control them starting with the PM and all Ministers! They do fear challenges from their surbodinates!
That's what JPM have done in his 5th reign of terror!
Just try to compare Majaliwa the incumbent PM and Minister Makamba and see their differences. Makamba is much better than Majaliwa 1000 times!!!!
 


Nakuomba ubadili hilo jina na hio picha ndugu ina effect katika spiritual life ndugu plse badili kama unaweza, ''Dont tempt devil to tempt you plse''
 
He was aiming high but he harvested little. Ni sawa NA kutegemea utapata Division 1 kwenye pepa kisha ukapata 4 au HATA Division 5. Halafu Wajinga Wajinga ambao darasani walikuwa mburula wamrpata 1,2. Kipanga wa darasa uliyekuwa unamkosoa hadi maalimu darasani umepata Div 5. Hiki ndicho kinachomuuna J Y M
 
Makamba hakuwahi kuwa wa manufaa kwa taifa lake unahiri wake wote ilikuwa ni kufanikisha....... ya wachache.
 
Hiyo wizara aliyopo akiropoka tuu kawasha moto bara na visiwani after law serikali ya kazi tuu iko zaidi kujikita kijeshi na kiiterejensia so makamba kaambiwa awe mpole kwanza ndio atapunguza wapinzani wake wa ugombea.
 
Wakati wa kampeni alizipiga bilion 1.7 zote peke yake kwa visingizio kuwa kazitumia kwenye propaganda za kumchafua Lowasa na Ukawa , magufuli hakutaka kumpa uwaziri mpaka alipopewa shinikizo na JK na kinana kwani wanajua bila kamati yake ya ufundi, uchakachuaji na maujanja na Fitna CCM wasingeingia ikulu , wizara ya muungano kuna Pesa nyingi za mazingira, kero za muungano nk huko Pesa unakula bila mtu kukushitukia ndiyo maana yeye anaipenda hiyo wizara bajeti ya kero za muungano ni ulaji kwani kero zipo na haziishi lakini Pesa unatoka na kupigwa , kumbuka Yule mzungu mtaliano anamdai Dola milion moja , Dili la sugu alimpora, magufuli anamjua vyema hata huko alipo kaamua kufumba macho vinginevyo January alipaswa awe nje kabsa .
 
Hiyo wizara aliyopo akiropoka tuu kawasha moto bara na visiwani after law serikali ya kazi tuu iko zaidi kujikita kijeshi na kiiterejensia so makamba kaambiwa awe mpole kwanza ndio atapunguza wapinzani wake wa ugombea.
January ni Mzee wa fursa mfano sasa hii issue ya UKUTA tayari kachukua Pesa kwa ajili ya kuwachonganisha ukawa , kule Zanzibar kipindi cha uchaguzi alipiga Pesa ndefu kwa ajili ya uchakachuaji , yy popote alipo anapiga Dili hata angekuwa waziri wa kivuli angepiga Pesa .
 
Hao aliwateua kwa shinikizo la JK na kinana lakini magufuli binafsi hawakubali moyoni .
 
makamba bora akae kimya kwani anawindwa sana ila namsifu ni mwanastrategia mzuri sana
 
Wasiokupenda wanapojitokeza Mchana KWEUPE peeeee!
 
Jamaa ni mjanja mjanja so katika Government hii haitaki UJANJAUJANJA
Nakumbuka Jimboni kwake hakukuwa na kura hata moja iliyokosewa kuanzia diwani, Mbunge mpaka Rais.

Alifanya kaz kubwa ya ku hack matokeo na Mkurugenz wake Lakin yote bure.

Ngosha hatak Janja Janja ya MUJINI
 
makamba bora akae kimya kwani anawindwa sana ila namsifu ni mwanastrategia mzuri sana
Makamba hana tatizo lolote na Magufuli. Kaamua tu kupunguza maneno ya watu kwa stahili hii ila anapiga kazi sana wizarani kwake.
 
Makamba si doomed

Kwanza boss wake 'hampendi'...

pili ana maadui wengi ndani na nje ya ccm

Mtu pekee wa kumsaidia alikuwa JK....
Na mbaya zaidi kuna kipindi alimkashifu JK kwa kuponda staili yake ya uongozi.
 
Pia tusisahau role aliyo Play Mange Kimambi na yule Muitaliano.
Asipo pata ushauri mzuri anaweza kupata stress, depression due to lonelness na anaweza kugeukia Pombe. Mwishowe ata pata Parkinson diseases kama EL.
 
Kwenye Chama Chetu Makamba ni nguzo kuu ya mipango. Yule jamaa ni smart sana... Mara zote anajua anachofanya!

Kukaa kwake kimya kunanifanya niendelee kuamini kwamba yuko makini sana kisiasa! Hafungamani na style yoyote wala hali za dharura kirahisi-hafuati mkumbo! The guy is well focused with own Modus Operandi...

Anafanana sana kitabia na Zitto Kabwe na ni akili kubwa pekee zinazowaelewa hawa jamaa.

Natamani sana kuwa smart kama January Makamba. He is my roll model!

Mark Hilary
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…