Moja kati ya vizee vijinga vijinga vilivyopo pale Lumumba naye huwa yumo na huyu ndio alikua anatoa mapendekezo kuhusu maigizo aliyokuwa anafanya Makonda baada ya kurudishwa kwenye uongozi mara kuingia na mikokoteni, punda , pikipiki kwenye ziara zake zile za uenezi wa chama.