Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Hivi karibuni, tulishuhudia kuzinduliwa kwa tovuti ya kazi za Dkt. Salim Ahmed Salim. Uzinduzi huu ulihudhuriwa na vigogo mbali mbali bila kuonekana kwa mhusika. Kunani? Yuko wapi na katika hali gani? Nini kinafichwa kuhusiana na mhusika. Dr Salim ni public figure.
Kuna haja gani ya kumficha? Kama binadamu yeyote anayeweza kuugua.
Je, Dkt. Salim anaumwa au kasafiri? Kwanini tukio hii adhimu halikumpa nafasi mhusika kuonekana na kuongea na umma? Maswali ni mengi kuliko majibu.