Musiba alikuwa mtu wa kitengo na alishamiri sana enzi za yule balozi wetu kule NAMIBIA [ Kipilimba] alipokuwa mkuu wa kitengo!! Cha kushangaza ni pale yule Mkuu wa kitengo kumfadhiri Musiba wakati huo huo alikuwa karibu sana na NYOKA WA MDIMU [ Membe]!! Hata kutolewa kwake jiwe alihisi kuwa alikuwa anavujisha siri kwa Membe!..na huo uchonganishi aliufanya kwa miaka 5+ bila Raisi, serikali, au Ccm kuchukua hatua.
..je, nani alikuwa anamtuma Musiba?
..Nani alikuwa anamlipa na kumuwezesha Musiba?
..Kwa mfano, nani alimsaidia Musiba kumdukua Membe, na wenzake?
..Nani alikuwa anamlinda Musiba?