Wanaishi kama digidigi nchini mwao. Mungu awasamehe sana hawakujua walitendaloTatizo la Musiba hata CCM alikuwa hakubaliki na ndio maana alijaribu kugombea ubunge akashindwa huko mwibara. Kwa Sasa anajuta tu kwa ujinga wake.
Uongozi wa Magufuli uliexpose wajinga wengi akiwemo huyo Musiba. Nakumbuka siku Lissu amerudi nchini, Musiba alimshambulia Sana utadhani nchi ya babaake, sasahivi kajificha hawezi kuonekana. Musiba, Makonda na Sabaya wawe someone kwa vijana Viongozi.