Yuko wapi Cyprian Majura Musiba?

Yuko wapi Cyprian Majura Musiba?

Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
UKIMWONA UNAWEZA KUDINDOSHA MACHOZI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Bila Shaka atakuwa pangoni hivisasa na anaogopa kutolewamo🤔
 
Wengi humu ni wanafiki sana! Mlimsifia sana Musiba kwa ujasiri wake leo tena mmemgeuka! Matanzania manafiki sana!
 
Lakini mlimuunga mkono. Sema sasahivi ndio mnapata akili. Wakati ule mlikuwa hamuambiwi kitu.

Rais Samia yeye kajifunza, kaona pesa na mali ni vitu vya kupita, ajira ametoa, mishara kapandisha na Malupu lupu juu.

Tunasubiri Katiba Mpya tu baasi.
Na mfumuko wa bei juu
 
Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Musiba kapata msiba!
 
..na huo uchonganishi aliufanya kwa miaka 5+ bila Raisi, serikali, au Ccm kuchukua hatua.

..je, nani alikuwa anamtuma Musiba?

..Nani alikuwa anamlipa na kumuwezesha Musiba?

..Kwa mfano, nani alimsaidia Musiba kumdukua Membe, na wenzake?

..Nani alikuwa anamlinda Musiba?
Forgerer-in-Chief, Magufuli.
 
Hata miye nimemmic mwanaharakati huru wakati ule ilikuwa haipiti wiki amelipuwa kombora daah sasa amepotea kabisa.Hakika tuishi na watu vema.Pesa,umaarufu si kitu.Miye nyumba yangu ya udongo haihimili vishindo.Kwangu maskini.Matajiri,wenye elimu na wasiyo na elimu watu wangu wote kwa usawa.
 
Hata mimi niliiona ila niliona kama ina walakini hivi. All in all, popote alipo yuko kwenye hali mbaya sana. Nina uhakika hata unyasi ukidondoka kwenye bati la nyumba aliyopo ni lazima anajamba. Unajua utawala wa sasa umeamua kumpa adhabu mbaya sana i.e. wanamwacha afe kwa kiroho na wasiwasi. Muda wote ana wasiwasi, hajui ni nini kitafuata kesho yake.
Huyu Musiba huyu kinacho enda kumkuta ni kile wanacho pambana nacho kwenye orodha hii:
1. Ole Sabaya.
2. Paul Makonda
3. X. Musiba.
 
Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Amelipa hela za watu? Labda kajichimbia mahali anaoggopa.
 
Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Kwani ukitaka kumtafuta shetani si unaenda kuzimu?
Yuko huko.
 
Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Huyo Mwendazake ndio nani? Lazima ni maarufu sana.

Musiba kajenga nyumba na kaoa, nasikia rafiki yake JK alimsaidia kwenye mchango.

Huyo hatakiwi hapa aende kuajiriwa na fox nyuuz.
 
Back
Top Bottom