Yuko wapi Cyprian Majura Musiba?

Yuko wapi Cyprian Majura Musiba?

Nsema

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
275
Reaction score
482
Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
 
Ndugu wadau wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua. Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
You know what happened to Musiba? Itakuwa na yeye amepatwa na musiba baada ya musiba wa mwenda zake!
Nilimsikia Zitto Kabwe akisema, nanukuu" WALE WANAO MPENDA MAGUFULI WAKAZIKWE NA MAGUFULI CHATO"
Hii inamhusu sana Bwana Musiba.
 
Ndugu wadau wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua. Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Musiba Kama jina lake ni Msiba wa taifa, kuwa na watu wachumia tumbo Kama yeye na Paschal ni hatari sana kwa taifa lolote. Tunaomba Mungu aliko kwenda Mungu wao na wao wafuate. Maana Maandiko yanasema amelaaniwa mtu yule amtegemea mwanadamu na kumfanya kuwa Kinga yake. Nasi Kama taifa tunauliza Mungu kwa nini kutuachia walaaniwa hawa wakiwa hai hata sasa.
 
Ndugu wadau wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua. Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Kuna clip nimeiona juzi akiwa analia. Sijui ni video ya kuchonga au kweli
 
Musiba Kama jina lake ni Msiba wa taifa, kuwa na watu wachumia tumbo Kama yeye na Paschal ni hatari sana kwa taifa lolote. Tunaomba Mungu aliko kwenda Mungu wao na wao wafuate. Maana Maandiko yanasema amelaaniwa mtu yule amtegemea mwanadamu na kumfanya kuwa Kinga yake. Nasi Kama taifa tunauliza Mungu kwa nini kutuachia walaaniwa hawa wakiwa hai hata sasa.
Julius Nyerere alisema kuna dhambi zingine adhabu yake iko ndani ya kitendo haisubiri. Musiba anatafunwa na dhambi ya kutukana wazee mithili ya wazazi wake.
 
Kuna clip nimeiona juzi akiwa analia. Sijui ni video ya kuchonga au kweli
Hata mimi niliiona ila niliona kama ina walakini hivi. All in all, popote alipo yuko kwenye hali mbaya sana. Nina uhakika hata unyasi ukidondoka kwenye bati la nyumba aliyopo ni lazima anajamba. Unajua utawala wa sasa umeamua kumpa adhabu mbaya sana i.e. wanamwacha afe kwa kiroho na wasiwasi. Muda wote ana wasiwasi, hajui ni nini kitafuata kesho yake.
 
Hata mimi niliiona ila niliona kama ina walakini hivi. All in all, popote alipo yuko kwenye hali mbaya sana. Nina uhakika hata unyasi ukidondoka kwenye bati la nyumba aliyopo ni lazima anajamba. Unajua utawala wa sasa umeamua kumpa adhabu mbaya sana i.e. wanamwacha afe kwa kiroho na wasiwasi. Muda wote ana wasiwasi, hajui ni nini kitafuata kesho yake.
Kweli kabisa,Sijui itakuwaje baadaye yake, sijui arudi Kwa style ipi Uringoni:
 
Hata mimi niliiona ila niliona kama ina walakini hivi. All in all, popote alipo yuko kwenye hali mbaya sana. Nina uhakika hata unyasi ukidondoka kwenye bati la nyumba aliyopo ni lazima anajamba. Unajua utawala wa sasa umeamua kumpa adhabu mbaya sana i.e. wanamwacha afe kwa kiroho na wasiwasi. Muda wote ana wasiwasi, hajui ni nini kitafuata kesho yake.
😅😅😅atajijua
 
Huyu Jamaa kwa maoni yangu alichangia sana kumchonganisha Hayati Rais wetu JPM na watu waliopaswa kuwa Watetezi wake
Lakini mlimuunga mkono. Sema sasahivi ndio mnapata akili. Wakati ule mlikuwa hamuambiwi kitu.

Rais Samia yeye kajifunza, kaona pesa na mali ni vitu vya kupita, ajira ametoa, mishara kapandisha na Malupu lupu juu.

Tunasubiri Katiba Mpya tu baasi.
 
Huyu Jamaa kwa maoni yangu alichangia sana kumchonganisha Hayati Rais wetu JPM na watu waliopaswa kuwa Watetezi wake

..na huo uchonganishi aliufanya kwa miaka 5+ bila Raisi, serikali, au Ccm kuchukua hatua.

..je, nani alikuwa anamtuma Musiba?

..Nani alikuwa anamlipa na kumuwezesha Musiba?

..Kwa mfano, nani alimsaidia Musiba kumdukua Membe, na wenzake?

..Nani alikuwa anamlinda Musiba?
 
Ndugu wadau

Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.

Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Unamdai?
 
Back
Top Bottom