Musiba siku hizi husikiki umejichimbia wapi?

chazachaza

JF-Expert Member
Feb 21, 2018
2,829
3,824
Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.

Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!

Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
 
Haaa umemtafuta ukamkosa kwa sasa anafanya shughuli zake tu .Kila awamu na zama zake
 
Sidhani Kuna mtu ana taarifa zake huyo mwehu alijichanganya mwenyewe amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Unajua hawa watu ndio waliokuwa nje ya system kabisa na miaka yote wamekuwa wanajiita wanaharakati ingawa walisahau kwamba harakati zao za kisiasa walitakiwa kuzifanya wakiwa ndani ya vyama vya siasa Kama wenzao akina Mtatiro, Zitto, Slaa nk.

Sasa ilipotokea fursa ya kupata teuzi za mchongo ambazo alikuwa anazitoa papaa Mobutu Magufuli wakajikuta wanaongeza sifa ili wasikike ingali hawakuwa kwenye mwavuli wa kisiasa.

Hapa utaona kundi la watu Kama polepole ndio likaibuka baada ya kuonja tamu ya madaraka. Hawa watu wakageuka wehu kabisa na musiba alipopata assurance ya backup ndio akazidisha ujinga akisahau kwamba yeye alikuwa nje ya system hivyo Ile system ikiondoka angekuwa yupo nje na hana record yoyote ya utumishi ambayo kidogo wangembeba kwa kutumikia taifa hata kama alikuwa chawa.

Hii ndio inawabeba wenzie akina makonda na polepole Ila yeye atakula za uso na hakina wa kumsaidia labda wanaotaka kujilipizia wamsamehe tu.

Wacha alipe mshahara wa kuropoka hovyo, unagombana na Fatma mjukuu wa Karume hauoni aibu kabisa? Babu Rais, baba Rais na kabisa akaona Fatma ndio size yake kabisa?

Wacha apate malipo ya kimbelembele chake.
 
huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye acc.yake tweetani ,au channel kumi,na tanzanite tv, kiukweli hata Kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya ,basi nikipita kwa bwana musiba ,sikosi kukuta kitu Cha kunifanya nipoteza mawazo.

mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndg yetu!?
Nami nawatafuta Polepole, Bashiru na Makonda. Ukiwaona nistue niwasalimie
 
Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.

Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
Yupo chato,akihani kabuli la jiwe,anaomba muujiza wa Lazaro utoke
 
Utamuona mahakamani siku sio nyingi Fatma amesema mwaka huu anakazia Ile hukumu ya fidia na membe lazima ataibuka nae yaani lazima wamle kiboga mwaka huu.
nimeona shangazi anasema alikuwa amepotezea ,Ila kwa kuwa mahakama imetoa hukumu Sasa ataliamusha dude upya la fidia,membe alishasema anataka fidia ya 1bil. Hawa watu hawana huruma fidia 1bil,kwel. wangesamehe tu!
 
Yaaan kunaaa kipindi nlikuwaaa najiuliza hivi huyu jama ana akili timamu kweli yaaan alikuwaa anatoa fact kama mwehu
maisha ni Kama saa ya mshale,Leo ipo kwenye 6,kesho kwenye 12....,ukikalili namba moja ndo haya ya ndg musiba!!
 
nimeona shangazi anasema alikuwa amepoyezea ,Ila kwa kuwa mahakama imetoa hukumu Sasa ataliamusha dude upya la fidia,membe alishasema anataka fidia ya 1bil. Hawa watu hawana huruma fidia 1bil,kwel. wangesamehe tu!
Watauza hadi mashamba ya ukoo nani alimtuma kufanya ujinga wake?😃
 
Sidhani Kuna mtu ana taarifa zake huyo mwehu alijichanganya mwenyewe amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Unajua hawa watu ndio waliokuwa nje ya system kabisa na miaka yote wamekuwa wanajiita wanaharakati ingawa walisahau kwamba harakati zao za kisiasa walitakiwa kuzifanya wakiwa ndani ya vyama vya siasa Kama wenzao akina Mtatiro, Zitto, Slaa nk.

Sasa ilipotokea fursa ya kupata teuzi za mchongo ambazo alikuwa anazitoa papaa Mobutu Magufuli wakajikuta wanaongeza sifa ili wasikike ingali hawakuwa kwenye mwavuli wa kisiasa.

Hapa utaona kundi la watu Kama polepole ndio likaibuka baada ya kuonja tamu ya madaraka. Hawa watu wakageuka wehu kabisa na musiba alipopata assurance ya backup ndio akazidisha ujinga akisahau kwamba yeye alikuwa nje ya system hivyo Ile system ikiondoka angekuwa yupo nje na hana record yoyote ya utumishi ambayo kidogo wangembeba kwa kutumikia taifa hata kama alikuwa chawa.

Hii ndio inawabeba wenzie akina makonda na polepole Ila yeye atakula za uso na hakina wa kumsaidia labda wanaotaka kujilipizia wamsamehe tu.

Wacha alipe mshahara wa kuropoka hovyo, unagombana na Fatma mjukuu wa Karume hauoni aibu kabisa? Babu Rais, baba Rais na kabisa akaona Fatma ndio size yake kabisa?

Wacha apate malipo ya kimbelembele chake.
fact .maisha ni Kama saa ya mshale ,leo ipo kwenye 6,kesho 9,sas ukikall namba moja,ndo hivyo.naamini membe,Fatma watamsamehe bule maisha yasonge!
 
Back
Top Bottom