Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 7,376
- 16,539
watu kama wale hawawezi kupewa nafasi ,maana ukimpa nafasi siku ikitoka kwenye cheo atakutukana na kukudhalilisha, kwahiyo only way ni kumpotezea mazimaKuna kipindi alitaka kurudi akapotezewa, alianza kumsifu mama na kusema yuko tayari kumlinda.