Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,145
- 16,996
Tapeli washajua watz wanajaa upepo kwa umbea uchwara.Wewe vitabiri vyako uchwara ulisema unaleta video za ushahidi leo 28
Au bado masimbi ya ramli hayajaangukia kushoto….
Britannica usiache kuipasha habari Tanzania, kama hakutakuwa na mabadiliko siku ya tarehe 29 October kutatangazwa dharura
Umeacha miwani barHuyo bila shaka ni Nchimbi, ila hili ni fumbo kwa Bi.Mkubwa
uchwara pro maxWewe vitabiri vyako uchwara ulisema unaleta video za ushahidi leo 28
Au bado masimbi ya ramli hayajaangukia kushoto….
Numbi umenifundisha ku block , hakuna kitu utasema🤣🤣🤣Mnajua askari doria wapo kwenye uzi huu ,nyiieee tukidakwa hakuna cha mahakamani ni shaaaaa kuonana na israiiiiliiii🤣🤣🤣🤣🤣
Na utu uzima huo umjui bambo kwa kumuona? Au umenifanyia makusudiNdio ephen
Takatakachota haraka
Pombe na Mnywa pombe
Sema tena na tena. Magufuli alidhani wapinzani ndiyo adui zake. Upeo wake wa kuchambua mambo ulikuwa mdogo halafu alikuwa anapenda kuabudiwa na alidhani anayemwabudu ndiye anampenda. Pia washauri wake walikuwa watu wa hovyo, wasio na mkakati bali wanatumia nguvu. Angekuwa na akili asingemwacha Samia kwenye umakamu kwa vyovyote vile wakati wa uchaguzi wa 2020. Au angetumia hili bunge la fisi-em kubadili katiba makamu asichiwe rais automatically.Magufuli alikuwa dhalimu wa kiwango cha juu, ila aliacha maadui zake akawapa anapambana na wapinzani kama maadui.