Your antivirus software watching you disabling it to run keygen.exe

Your antivirus software watching you disabling it to run keygen.exe

Usisahau na zile failed missions zote dhidi ya msaigoni, na usisahau kusema nani alianzisha sarakasi za kumtanguliza mwenzie hahahaha hakuna jipya tunarudia yaleyale yaliyokwishasemwa...

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani.
 
Usisahau na zile failed missions zote dhidi ya msaigoni, na usisahau kusema nani alianzisha sarakasi za kumtanguliza mwenzie hahahaha hakuna jipya tunarudia yaleyale yaliyokwishasemwa...

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani.
Kumbe ilikua hivyo?
 
Usisahau na zile failed missions zote dhidi ya msaigoni, na usisahau kusema nani alianzisha sarakasi za kumtanguliza mwenzie hahahaha hakuna jipya tunarudia yaleyale yaliyokwishasemwa...

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani.
Hahaha shida msaigoni ndio aliye anza kutoa maelekezo mengi, kama ana ongea na mwanae.

Beside una zungumzia ile mission ya zile njemba zilizo ruka ukuta!
 
Usisahau na zile failed missions zote dhidi ya msaigoni, na usisahau kusema nani alianzisha sarakasi za kumtanguliza mwenzie hahahaha hakuna jipya tunarudia yaleyale yaliyokwishasemwa...

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani.
Kila uzi watu wanapotaka kusema kuhusu majizi ya hii nchi na wewe Upo.

Hivyo na wewe ni mmoja wao kama sio mtu wao wa karibu au mfanya kazi wao.

Kuna jambo unapiga doria kama litasemwa?


Accumulation ya mali inawasaidia nini Maboss zako/ wewe mwenyewe?

Kwa sababu kama Kuchuma wameshachuma/ mmshachuma sanaaa.

Asa si muliache taifa lisonge Mbele?
 
Kila uzi watu wanapotaka kusema kuhusu majizi ya hii nchi na wewe Upo.

Hivyo na wewe ni mmoja wao kama sio mtu wao wa karibu au mfanya kazi wao.

Kuna jambo unapiga doria kama litasemwa?


Accumulation ya mali inawasaidia nini Maboss zako/ wewe mwenyewe?

Kwa sababu kama Kuchuma wameshachuma/ mmshachuma sanaaa.

Asa si muliache taifa lisonge Mbele?

huyu naye ni wale wale timu mtandao ana uma na kupuliza japo anayajua mengi tu hajataka tu ku decode
 
Ukitaka ku install software za wizi au zile zisizo rasmi (crack), ambazo huwa na software ya key generator (keygen.exe), lazima kwanza uzime antivirus (mfano windows defender), la sivyo huwezi kufanya installation.

Sasa unaweza mwenyewe badilisha hapo kenye software na kuweka watu, kikundi au mfumo, utajuwa mwenyewe.
HIV attacks T-Lymphocytes, leading to AIDS 💣
 
HIV attacks T-Lymphocytes, leading to AIDS 💣
A combination of a high dosage ivermectin (something like 2mg/kg/day) and fenbendazole or mebendazole will quickly restore the body mitochondrial dysfuction, and nothing would lead to AIDS.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom