Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kwanza natoa radhi kama nitawaudhi lakini ukweli ni kuwa its more than 6 months huyu mheshimiwa wa chama kikubwa cha upinzani cha CHADEMA hajatoa any major speech on policy yoyote ile Tanzania. Surely kama mwenyekiti wa chama ambacho kinataka kuingia Ikulu huwezi ukakaa kimyaa kirefu namna hii na kuwaachia akina Dr Slaa, Zitto na JJ kukufanyai kila kitu.Isnt it ironic kuwa kuna issues mbali mbali ambazo CCM inazifanya ambazo wananchi hawazipendi lakini kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kama CHADEMA yuko kimya makes you wonder what he will be up to akiingia ikulu.
Au yuko bize na biashara kiasi cha kutojua kuwa na ramadhani yote hiii vyakula vimepanda bei maradufu huku serikali inabugikwa na ma skandal left and right...
is this really the alternative?
Samahani sana kama nitakuwa nimewaudhi. na ikiwa inauma sana msisite kuihamisha kwani wenyewe sidhani kama watafurahia criticism kama hizi
Au yuko bize na biashara kiasi cha kutojua kuwa na ramadhani yote hiii vyakula vimepanda bei maradufu huku serikali inabugikwa na ma skandal left and right...
is this really the alternative?
Samahani sana kama nitakuwa nimewaudhi. na ikiwa inauma sana msisite kuihamisha kwani wenyewe sidhani kama watafurahia criticism kama hizi