Siasa ni Sayansi, CHADEMA milele mtakuwa wapinzani na sio watawala

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Apr 26, 2022
259
353
Katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, hakuna chama chenye nguvu kama CCM. Yaani nguvu kwa Rasilimali, watu na hata ushawishi kwa watu wake.

Ni vyema wapinzani mkalitambua hilo kwanza kabla ya kutaka kuingia vitani na CCM. Mjue kwanza mnapambana na kitu gani na hatari zake ni zipi.

Falsafa ya JMP ilikuwa ni kutumia sana nguvu kuumaliza upinzani. Aliua, kuteka, kutesa na kuzuia kabisa mikutano ya hadhara, na mbali ya hapo, aliiba viongozi wajuu kutoka vyama vya Upinzani na kuwaingiza CCM kuua nguvu ya upinzani.

Tazama, Rais Samia Suluhu anatumia namna tofauti kabisa, anatumia hesabu kali sana kuwakata ngebe wapinzani. Rais anatuma njia tofauti kabisa na ambayo hadi wakija kugundua, wameshazungukwa kila upande, ni kichapo tu.

Rais Samia anatumia delaying tactic, yaani anajua kabisa CHADEMA wanataka Katiba Mpya, anajua kabisa wanataka Katiba Mpya. Lakini anafanyaje?

Kwanza haoneshi kama hataki, bali anawacheleweshea, mara anaita Ikulu, mata ameandaa chakula cha usiku na nyie, mara mumeandaa tamasha lenu mumemwita kama mgeni rasmi na shughuli nyingine ambazo kimsingi, zinawavunja nguvu ya madai yenu..

Rais Samia ni genius, kama wewe ni mwana CHADEMA, itakuwa umeshaanza kuona taratibu kama kuna kampasuko kameanza kuchomoza ndani ya CHADEMA. Tangu mbowe atoke gerezani, CHADEMA haina nguvu, inshort upinzani umepwaya.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hawaridhishwi na vikao vya Mama na Mbowe, wanaona ni usaliti. Kama Lema, ndio hapendi hata kuona... akina MMM ndio kabisaa.. So haya yote na matokeo ambayo CCM waliyashayaona tayari, na watazidi kuwavuruga.

Viongozi wengi wa CHADEMA wana njaa kwa sasa. Kila mkakati wa siri wa vikao vya CHADEMA tayari CCM wanaujua, yaani kuna makada wa CHADEMA wakipwa bakhsishi wanachia kila kitu. Inshort ni kwamba milele na milele, CHADEMA watakuwa tu wapinzani na katu hawatokuja kuwa watawala.

Why? Kwanza Njaa kali, pili hawana watu makini na mipango thabiti, tatu sio wapinzani wa kweli, pesa mbele, nne hakuna mtu yuko tayari kufa kwa ajili ya hii nchi.
20220601_194659.jpg
20220601_194654.jpg
 
Katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, hakuna chama chenye nguvu kama CCM. Yaani nguvu kwa Rasilimali, watu na hata ushawishi kwa watu wake.

Ni vyema wapinzani mkalitambua hilo kwanza kabla ya kutaka kuingia vitani na CCM. Mjue kwanza mnapambana na kitu gani na hatari zake ni zipi.

Falsafa ya JMP ilikuwa ni kutumia sana nguvu kuumaliza upinzani. Aliua, kuteka, kutesa na kuzuia kabisa mikutano ya hadhara, na mbali ya hapo, aliiba viongozi wajuu kutoka vyama vya Upinzani na kuwaingiza CCM kuua nguvu ya upinzani.

Tazama, Rais Samia Suluhu anatumia namna tofauti kabisa, anatumia hesabu kali sana kuwakata ngebe wapinzani. Rais anatuma njia tofauti kabisa na ambayo hadi wakija kugundua, wameshazungukwa kila upande, ni kichapo tu.

Rais Samia anatumia delaying tactic, yaani anajua kabisa CHADEMA wanataka Katiba Mpya, anajua kabisa wanataka Katiba Mpya. Lakini anafanyaje?

Kwanza haoneshi kama hataki, bali anawacheleweshea, mara anaita Ikulu, mata ameandaa chakula cha usiku na nyie, mara mumeandaa tamasha lenu mumemwita kama mgeni rasmi na shughuli nyingine ambazo kimsingi, zinawavunja nguvu ya madai yenu..

Rais Samia ni genius, kama wewe ni mwana CHADEMA, itakuwa umeshaanza kuona taratibu kama kuna kampasuko kameanza kuchomoza ndani ya CHADEMA. Tangu mbowe atoke gerezani, CHADEMA haina nguvu, inshort upinzani umepwaya.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hawaridhishwi na vikao vya Mama na Mbowe, wanaona ni usaliti. Kama Lema, ndio hapendi hata kuona... akina MMM ndio kabisaa.. So haya yote na matokeo ambayo CCM waliyashayaona tayari, na watazidi kuwavuruga.

Viongozi wengi wa CHADEMA wana njaa kwa sasa. Kila mkakati wa siri wa vikao vya CHADEMA tayari CCM wanaujua, yaani kuna makada wa CHADEMA wakipwa bakhsishi wanachia kila kitu. Inshort ni kwamba milele na milele, CHADEMA watakuwa tu wapinzani na katu hawatokuja kuwa watawala.

Why? Kwanza Njaa kali, pili hawana watu makini na mipango thabiti, tatu sio wapinzani wa kweli, pesa mbele, nne hakuna mtu yuko tayari kufa kwa ajili ya hii nchi. View attachment 2247576View attachment 2247577
Usemage na ukweli angalao mara Moja Moja,sema pia kama kilishajifia,uongo SII deal🏃
 
Katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, hakuna chama chenye nguvu kama CCM. Yaani nguvu kwa Rasilimali, watu na hata ushawishi kwa watu wake.

Ni vyema wapinzani mkalitambua hilo kwanza kabla ya kutaka kuingia vitani na CCM. Mjue kwanza mnapambana na kitu gani na hatari zake ni zipi.

Falsafa ya JMP ilikuwa ni kutumia sana nguvu kuumaliza upinzani. Aliua, kuteka, kutesa na kuzuia kabisa mikutano ya hadhara, na mbali ya hapo, aliiba viongozi wajuu kutoka vyama vya Upinzani na kuwaingiza CCM kuua nguvu ya upinzani.

Tazama, Rais Samia Suluhu anatumia namna tofauti kabisa, anatumia hesabu kali sana kuwakata ngebe wapinzani. Rais anatuma njia tofauti kabisa na ambayo hadi wakija kugundua, wameshazungukwa kila upande, ni kichapo tu.

Rais Samia anatumia delaying tactic, yaani anajua kabisa CHADEMA wanataka Katiba Mpya, anajua kabisa wanataka Katiba Mpya. Lakini anafanyaje?

Kwanza haoneshi kama hataki, bali anawacheleweshea, mara anaita Ikulu, mata ameandaa chakula cha usiku na nyie, mara mumeandaa tamasha lenu mumemwita kama mgeni rasmi na shughuli nyingine ambazo kimsingi, zinawavunja nguvu ya madai yenu..

Rais Samia ni genius, kama wewe ni mwana CHADEMA, itakuwa umeshaanza kuona taratibu kama kuna kampasuko kameanza kuchomoza ndani ya CHADEMA. Tangu mbowe atoke gerezani, CHADEMA haina nguvu, inshort upinzani umepwaya.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hawaridhishwi na vikao vya Mama na Mbowe, wanaona ni usaliti. Kama Lema, ndio hapendi hata kuona... akina MMM ndio kabisaa.. So haya yote na matokeo ambayo CCM waliyashayaona tayari, na watazidi kuwavuruga.

Viongozi wengi wa CHADEMA wana njaa kwa sasa. Kila mkakati wa siri wa vikao vya CHADEMA tayari CCM wanaujua, yaani kuna makada wa CHADEMA wakipwa bakhsishi wanachia kila kitu. Inshort ni kwamba milele na milele, CHADEMA watakuwa tu wapinzani na katu hawatokuja kuwa watawala.

Why? Kwanza Njaa kali, pili hawana watu makini na mipango thabiti, tatu sio wapinzani wa kweli, pesa mbele, nne hakuna mtu yuko tayari kufa kwa ajili ya hii nchi. View attachment 2247576View attachment 2247577
Pro-CCM hamjawahi Kupenda Amani Kabisa
 
Mtoa na mada ni miongoni mwa malaika wa yule shetani aliyekuwa ikulu. Walifurahia mateso, utekaji, mauaji na dhiki dhidi ya watanzania yaliyokuwa yakiendeshwa na mkuu wao.

Sasa huyu sukuma gang ameficha hisia zake za chuki nyuma ya maandiahi yanayoiongelea chadema.

Shame on you Nyambilisi!
 
Hii nchi sijui tunataka nini, wapinzani wakiwa radical mnawaita Pinga Pinga ila wakitumia boardroom Diplomacy kama anayofanya sasa Odinga huko Kenya mnawaona wasaliti na wapinzani feki!!

Nani aliyesema upinzani lazima awe anafoka foka majukwaani? Mbona negotiation zinaleta amani na hakuna kutekana tena Wala tension zisizo za msingi.
 
Katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, hakuna chama chenye nguvu kama CCM. Yaani nguvu kwa Rasilimali, watu na hata ushawishi kwa watu wake...

Wenye roho mbaya mnaumia Sana. Mnataka Tanzania iwe nchi ya chuki na Vita.
 
Katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, hakuna chama chenye nguvu kama CCM. Yaani nguvu kwa Rasilimali, watu na hata ushawishi kwa watu wake.

Ni vyema wapinzani mkalitambua hilo kwanza kabla ya kutaka kuingia vitani na CCM. Mjue kwanza mnapambana na kitu gani na hatari zake ni zipi.

Falsafa ya JMP ilikuwa ni kutumia sana nguvu kuumaliza upinzani. Aliua, kuteka, kutesa na kuzuia kabisa mikutano ya hadhara, na mbali ya hapo, aliiba viongozi wajuu kutoka vyama vya Upinzani na kuwaingiza CCM kuua nguvu ya upinzani.

Tazama, Rais Samia Suluhu anatumia namna tofauti kabisa, anatumia hesabu kali sana kuwakata ngebe wapinzani. Rais anatuma njia tofauti kabisa na ambayo hadi wakija kugundua, wameshazungukwa kila upande, ni kichapo tu.

Rais Samia anatumia delaying tactic, yaani anajua kabisa CHADEMA wanataka Katiba Mpya, anajua kabisa wanataka Katiba Mpya. Lakini anafanyaje?

Kwanza haoneshi kama hataki, bali anawacheleweshea, mara anaita Ikulu, mata ameandaa chakula cha usiku na nyie, mara mumeandaa tamasha lenu mumemwita kama mgeni rasmi na shughuli nyingine ambazo kimsingi, zinawavunja nguvu ya madai yenu..

Rais Samia ni genius, kama wewe ni mwana CHADEMA, itakuwa umeshaanza kuona taratibu kama kuna kampasuko kameanza kuchomoza ndani ya CHADEMA. Tangu mbowe atoke gerezani, CHADEMA haina nguvu, inshort upinzani umepwaya.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hawaridhishwi na vikao vya Mama na Mbowe, wanaona ni usaliti. Kama Lema, ndio hapendi hata kuona... akina MMM ndio kabisaa.. So haya yote na matokeo ambayo CCM waliyashayaona tayari, na watazidi kuwavuruga.

Viongozi wengi wa CHADEMA wana njaa kwa sasa. Kila mkakati wa siri wa vikao vya CHADEMA tayari CCM wanaujua, yaani kuna makada wa CHADEMA wakipwa bakhsishi wanachia kila kitu. Inshort ni kwamba milele na milele, CHADEMA watakuwa tu wapinzani na katu hawatokuja kuwa watawala.

Why? Kwanza Njaa kali, pili hawana watu makini na mipango thabiti, tatu sio wapinzani wa kweli, pesa mbele, nne hakuna mtu yuko tayari kufa kwa ajili ya hii nchi. View attachment 2247576View attachment 2247577
Sukuma Gang roho zinawauma sana, mlizoea siasa za kishenzi za kuhasimiana zilizoasisiwa na yule ibilisi wa kihutu aliyeko motoni sasa hivi
 
Katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, hakuna chama chenye nguvu kama CCM. Yaani nguvu kwa Rasilimali, watu na hata ushawishi kwa watu wake.

Ni vyema wapinzani mkalitambua hilo kwanza kabla ya kutaka kuingia vitani na CCM. Mjue kwanza mnapambana na kitu gani na hatari zake ni zipi.

Falsafa ya JMP ilikuwa ni kutumia sana nguvu kuumaliza upinzani. Aliua, kuteka, kutesa na kuzuia kabisa mikutano ya hadhara, na mbali ya hapo, aliiba viongozi wajuu kutoka vyama vya Upinzani na kuwaingiza CCM kuua nguvu ya upinzani.

Tazama, Rais Samia Suluhu anatumia namna tofauti kabisa, anatumia hesabu kali sana kuwakata ngebe wapinzani. Rais anatuma njia tofauti kabisa na ambayo hadi wakija kugundua, wameshazungukwa kila upande, ni kichapo tu.

Rais Samia anatumia delaying tactic, yaani anajua kabisa CHADEMA wanataka Katiba Mpya, anajua kabisa wanataka Katiba Mpya. Lakini anafanyaje?

Kwanza haoneshi kama hataki, bali anawacheleweshea, mara anaita Ikulu, mata ameandaa chakula cha usiku na nyie, mara mumeandaa tamasha lenu mumemwita kama mgeni rasmi na shughuli nyingine ambazo kimsingi, zinawavunja nguvu ya madai yenu..

Rais Samia ni genius, kama wewe ni mwana CHADEMA, itakuwa umeshaanza kuona taratibu kama kuna kampasuko kameanza kuchomoza ndani ya CHADEMA. Tangu mbowe atoke gerezani, CHADEMA haina nguvu, inshort upinzani umepwaya.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hawaridhishwi na vikao vya Mama na Mbowe, wanaona ni usaliti. Kama Lema, ndio hapendi hata kuona... akina MMM ndio kabisaa.. So haya yote na matokeo ambayo CCM waliyashayaona tayari, na watazidi kuwavuruga.

Viongozi wengi wa CHADEMA wana njaa kwa sasa. Kila mkakati wa siri wa vikao vya CHADEMA tayari CCM wanaujua, yaani kuna makada wa CHADEMA wakipwa bakhsishi wanachia kila kitu. Inshort ni kwamba milele na milele, CHADEMA watakuwa tu wapinzani na katu hawatokuja kuwa watawala.

Why? Kwanza Njaa kali, pili hawana watu makini na mipango thabiti, tatu sio wapinzani wa kweli, pesa mbele, nne hakuna mtu yuko tayari kufa kwa ajili ya hii nchi. View attachment 2247576View attachment 2247577
Naamini hiyo milele wewe mwenyewe hutakuwepo ili kuthibitisha hiyo porojo yako.
 
Katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, hakuna chama chenye nguvu kama CCM. Yaani nguvu kwa Rasilimali, watu na hata ushawishi kwa watu wake.

Ni vyema wapinzani mkalitambua hilo kwanza kabla ya kutaka kuingia vitani na CCM. Mjue kwanza mnapambana na kitu gani na hatari zake ni zipi.

Falsafa ya JMP ilikuwa ni kutumia sana nguvu kuumaliza upinzani. Aliua, kuteka, kutesa na kuzuia kabisa mikutano ya hadhara, na mbali ya hapo, aliiba viongozi wajuu kutoka vyama vya Upinzani na kuwaingiza CCM kuua nguvu ya upinzani.

Tazama, Rais Samia Suluhu anatumia namna tofauti kabisa, anatumia hesabu kali sana kuwakata ngebe wapinzani. Rais anatuma njia tofauti kabisa na ambayo hadi wakija kugundua, wameshazungukwa kila upande, ni kichapo tu.

Rais Samia anatumia delaying tactic, yaani anajua kabisa CHADEMA wanataka Katiba Mpya, anajua kabisa wanataka Katiba Mpya. Lakini anafanyaje?

Kwanza haoneshi kama hataki, bali anawacheleweshea, mara anaita Ikulu, mata ameandaa chakula cha usiku na nyie, mara mumeandaa tamasha lenu mumemwita kama mgeni rasmi na shughuli nyingine ambazo kimsingi, zinawavunja nguvu ya madai yenu..

Rais Samia ni genius, kama wewe ni mwana CHADEMA, itakuwa umeshaanza kuona taratibu kama kuna kampasuko kameanza kuchomoza ndani ya CHADEMA. Tangu mbowe atoke gerezani, CHADEMA haina nguvu, inshort upinzani umepwaya.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hawaridhishwi na vikao vya Mama na Mbowe, wanaona ni usaliti. Kama Lema, ndio hapendi hata kuona... akina MMM ndio kabisaa.. So haya yote na matokeo ambayo CCM waliyashayaona tayari, na watazidi kuwavuruga.

Viongozi wengi wa CHADEMA wana njaa kwa sasa. Kila mkakati wa siri wa vikao vya CHADEMA tayari CCM wanaujua, yaani kuna makada wa CHADEMA wakipwa bakhsishi wanachia kila kitu. Inshort ni kwamba milele na milele, CHADEMA watakuwa tu wapinzani na katu hawatokuja kuwa watawala.

Why? Kwanza Njaa kali, pili hawana watu makini na mipango thabiti, tatu sio wapinzani wa kweli, pesa mbele, nne hakuna mtu yuko tayari kufa kwa ajili ya hii nchi. View attachment 2247576View attachment 2247577
Hii ni kama mtu anapiga mluzi anapopita makaburini. Ungeeleweka kama Chadema wangeacha jitihada zao za kudai katiba mpya kwa sababu ya ukaribu wao na Mheshimiwa Rais. Lakini wanaendelea kudai bila kuogopa kuswekwa ndani.
Binadamu anaweza kutafuna Big G na kutembea wakati ule ule. Ndicho wanachofanya Chadema.

Amandla...
 
Back
Top Bottom