Yaap, yalipomzidia ilibidi aulize tu 😂😂😂😂 kama anapewa apewe,![]()
![]()
![]()
, sasa yeye alitaka apewe kweli?, Mr X alikua jinga huyo , naskia ilibidi amuulize wee mama utanipa kweli ama nishuke tu hahaaaa
Noo, usibadili bana,ndyo uniqueness yakoo
Kiukweli kaka zangu mnakutana na changamoto sana, ningekuwa mwanaume mimi sidhani kama hata ningetongoza
That's not always the case. Mimi kuna mkaka miaka ya nyuma alikuwaga ananitaka na mimi nilitokea kumzoea na nikampenda vile tu alikuwa lakini sikuweza kuwa naye kwa vile nilikuwa nipo kwenye relationship na mtu mwingine lakini yeye alichukulia nimemkataa kwa vile hana pesa. Sasa hivi yuko vizuri financially na bado anadai ananitaka ila pia siwezi kuwa naye kwa sababu nadhani anataka anikomoe tu. Unaweza kuona ni jinsi gani hizi generalization zinatuumiza




acha uoga. Kuna some guys huwa hawawezi kuhandle rejection yaani wanaona kama ni tusi kwa uanaume wao wakati tongozo ni ombi tu. Inawezekana kwa asilimia kubwa tu anataka kuosha asepe ili ajihisi mwanaume ingawa chances zinaeza kuwepo pia anakufeelSasa si unaona, yeye alinihukumu kwa jambo ambalo si la kweli na mimi nafikiria kitu ambacho sina uhakika nachoacha uoga. Kuna some guys huwa hawawezi kuhandle rejection yaani wanaona kama ni tusi kwa uanaume wao wakati tongozo ni ombi tu. Inawezekana kwa asilimia kubwa tu anataka kuosha asepe ili ajihisi mwanaume ingawa chances zinaeza kuwepo pia anakufeel
Ni kawaida. Ukiwa una insecurity flani, kila mara utahisi reactions za watu ni kutokana na mapungufu yako na kumbe walaa.just understand the guySasa si unaona, yeye alinihukumu kwa jambo ambalo si la kweli na mimi nafikiria kitu ambacho sina uhakika nacho
AsanteJapo ni kitu kinachoeleweka kama ulivyokielezea ila kinauma kujibiwa hivyo na mtu uliyempenda kweli
Ni kama dharau
Pole mwaya,Point yako iko timamu, ila tu ktk mfano wako hapo ndo napata mkanganyiko kidogo.
Kikikikiki natengua kauli babe,Haha babe huo mfano wako sijaupenda walah


ha ha ha ha ha ha ha haSasa kama hakuwa type yako kwa nini ulimla? Kwani yeye ulivyokuwa sio type yake alikukula?
Hahaha kabisa mbuni wangu,, vp lakini wewe hufanyi hivyoHaha ni kweli mkuu
Wifi we huogopi vichambo? Btw mumeo yuko wapi?