The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,580
Hahaha hakika mbinguni una siti yako,, keep it up
Haha sijawahi mimi
Haha sijawahi mimi
Amen
Ni sawa lakini mbona hizo haki aslimia kubwa zinawaangukia wenye pesa na magari yao kuliko akina kajamba nani,, hata kama kwako haipo hivo ila kiuhalisia ipo hivyoHuku sasa ni kutafuta huruma. Wewe una haki ya kukubaliwa na una wajibu wa kuelewa ukikataliwa, vivyo hivyo kwa wenye magari
Siku hizi pesa ndio imechukua nafasi kwenye mahusiano, sio kwetu tu hata kwenu ninyi mnapenda ukidate na mdada walau awe na kipato. Wengine wanadhani mtu akishakuwa na gari maana yake ana pesa wakati wengine choka mbaya tu wamenunua magari ya kuuzia suraNi sawa lakini mbona hizo haki aslimia kubwa zinawaangukia wenye pesa na magari yao kuliko akina kajamba nani,, hata kama kwako haipo hivo ila kiuhalisia ipo hivyo
Umeninukuu mahali hv na ku-like sms yangu lkn nashangaa kila nikitafuta kuangalia ulichoninukuu, sikioni, ss hapo tatizo ni nini Mama?Siku hizi pesa ndio imechukua nafasi kwenye mahusiano, sio kwetu tu hata kwenu ninyi mnapenda ukidate na mdada walau awe na kipato. Wengine wanadhani mtu akishakuwa na gari maana yake ana pesa wakati wengine choka mbaya tu wamenunua magari ya kuuzia sura
Siku hizi pesa ndio imechukua nafasi kwenye mahusiano, sio kwetu tu hata kwenu ninyi mnapenda ukidate na mdada walau awe na kipato. Wengine wanadhani mtu akishakuwa na gari maana yake ana pesa wakati wengine choka mbaya tu wamenunua magari ya kuuzia sura
Hata mimi sijui
Too personal
Hawa nao wanakuwa wambea, wakati anaingia kwenye mahusiano hakuona kuwa we si type yake?Kuna baadhi ya watu wakiyachoka mahusiano wanaona ndio fursa ya kuleta vita ya maneno kwa wapenz wao kwa kuwatolea maneno ya dharau bila kujali walipotoka......binafsi bora mtu aseme tuachane imetosha kuliko aanze kuntolea kauli za dharau kuwa me sio type yake alaf baada ya muda anarud anaomba mrudiane.