Hahaha! hii ID inachanganya wengi si wewe peke yako.
Hizo joke, ndo zilisababisha Mr x kupitishwa kituo baada ya mama kumtishia mtoto wake ndani ya gari usiponyonya nampa anko, kumbe Mr. X alikuwa next to her, wacha asubiri nyonyoo hadi kituo cha mwisho.Na hiyo yenyewe ni joke( hilo domo mmh)![]()
![]()
Kama ni wote basi mi napendeleaWalengwa ni wote waliosoma huu uzi

umewaza nje ya box, nilimuuliza kimekukuta nini? Hajanijibu
Kama vile kuna mlengwa anaeleweshwa kupitia huu uzi
Natumai ameelewa sasa
Ndio vizuri, sio mtu anakomaa kuuliza kama vile anakudai vile
Yaani ukiambiwa "siyo type yangu" siku inaharibika, kila kitu hakiendi unawaza unajiona hufai au labda unakasoro isiyovumilika!! Hapana kwakweli.


ma mdogo relax bwana, mimi binafsi sipendi ndizi sasa sio siku unipikie ndizi nikakuambia sili uanze kujisikia mnyonge na ujihisi hujui kupika wakati watu wengine kibao wabasifia msosi wakoKweli aisee mi kuna wa hivyo walikua wananikazia zamani lakini baada ya kutusua niliwagonga wote nikawa nawauliza kwanini mlikua mnagoma wanasema oooh ulikua huna hela so na mimi saizi napiga napita hivibora umpotezee kimya kimya. ...
siku za usoni unakutana naye ndio unavutiwa naye. ...utashindwa kurudisha maneno nyuma. ....
Na hiyo yenyewe ni joke( hilo domo mmh)![]()
![]()
Kweli aisee mi kuna wa hivyo walikua wananikazia zamani lakini baada ya kutusua niliwagonga wote nikawa nawauliza kwanini mlikua mnagoma wanasema oooh ulikua huna hela so na mimi saizi napiga napita hivi
Sasa kama hakuwa type yako kwa nini ulimla? Kwani yeye ulivyokuwa sio type yake alikukula?Kuna mmoja aliwahi kuniambia hili neno miaka ya nyuma. Lakini I didn't take it for granted I went on with my shit life infact sikuwa na requirements chache ambazo alionekana kuzihitaji. So nikaendelea kufanya Mambo yangu kwa bidii ikiwa ni pamoja na kusaka hela nakuji man up. So baada ya miaka kadhaa kidogo akanicheki kwa social network nikiwa nchi fulani doing ma thing you know. Aisee alini dm and honestly akanambia you have literally exceeded the requirements of the typa a nigger I need. So nilijiuliza mambo mengi ikiwemo na kwamba she wanted me fancy na kujitupia nini..? anyways nilimla halafu nikamshit kwasbb nami kwa muda huo hakuwa type yangu.
One thing nyie wadada mjue kuwa, we men tunawapenda sana nofilter, notrustfall na hatutowaangusha, ila mwamini tu kwamba we do change it's just a matter of time ili kuwa type mnazozitaka. Daah kazi kwelikweli.
Shida ukiambiwa wewe sio type yangu unaanza kujikagua!Haswaa hiyo ndio point yangu
Na hiyo yenyewe ni joke( hilo domo mmh)![]()
![]()
Refer to the men's rule of engagement.Sasa kama hakuwa type yako kwa nini ulimla? Kwani yeye ulivyokuwa sio type yake alikukula?
Wanapenda "Ready made". You did the ryt thing, huyo anawaka tamaa nd yo never know what she is capable of doingKuna mmoja aliwahi kuniambia hili neno miaka ya nyuma. Lakini I didn't take it for granted I went on with my shit life infact sikuwa na requirements chache ambazo alionekana kuzihitaji. So nikaendelea kufanya Mambo yangu kwa bidii ikiwa ni pamoja na kusaka hela nakuji man up. So baada ya miaka kadhaa kidogo akanicheki kwa social network nikiwa nchi fulani doing ma thing you know. Aisee alini dm and honestly akanambia you have literally exceeded the requirements of the typa a nigger I need. So nilijiuliza mambo mengi ikiwemo na kwamba she wanted me fancy na kujitupia nini..? anyways nilimla halafu nikamshit kwasbb nami kwa muda huo hakuwa type yangu.
One thing nyie wadada mjue kuwa, we men tunawapenda sana nofilter, notrustfall na hatutowaangusha, ila mwamini tu kwamba we do change it's just a matter of time ili kuwa type mnazozitaka. Daah kazi kwelikweli.
Wanaume tunakutana na Yes 3, No 1000Kiukweli kaka zangu mnakutana na changamoto sana, ningekuwa mwanaume mimi sidhani kama hata ningetongoza