Hapa nilipo ni Alfajiri lakini naifuatilia kesi hii kwa karibu kabisa. Inavyo onekana ni kwamba dhamana yao ni 3.9 Billion Cash MONEY, lazima waache mikoba yao kwa pillato na lazima kuwa na two citizen walio jitolea kuwasimamia.
Kama ingekuwa Football ningesema JK hit a first down, BUT I NEED TOUCHDOWN. Sababu first down doesn't count. I know watu mtasema kwamba we demand a lot. I think all this SUCKERS need to stand infront of pilato na kujibu mashitaka. Kisha wahukumiwe miaka na miaka kwenye jella za huko makutupolla shinyanga.
Nadhani kama muendesha mashtaka ana roho mbaya basi muda kama huu ni kufile kama between 5 and 10 counts kwa kila mmoja. Includes kuhujumu uchumi, wizi wa mali ya umma, kuchangia kuongezeka kwa umaskini. Just throw everythinhg and see what will stick.
I am smile, but i need more baby. I wanna Mkapa to be infront of Judge, I wanna Rostam, Lowassa. JK make me proud of you once again since nilipokupigia kampeni 2005.