Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Kwa hiyo Neno la Mungu linajipinga?
Mungu ana yake
Kaisari ana yake
Elewa hivyo
Mungu ana yake
Kaisari ana yake
Elewa hivyo
Acha upotovu. Dini ni maisha. Dini ni mafundisho, hizo story za waliotangulia ni kwa ajili yetu tufanye kuishi leo. Huwezi kuitenganisha dini na siasa. Tunadanganyana tu hapa.