Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,520
- 1,854
Kukimbia asignment kifasihi pia inaweza kuwa sawa na mtu kwenda kinyume na ahadi,katiba au mkataba.Kwa hiyo bado hadithi hii ina funzo ndani yake japo ina vijembe vingi vyenye kukera baadhi ya watu.Ni ANALYSIS nzuri sana, tena sana ila iko out of context kwa tafsiri rasmi kwa yeyote anaesoma biblia with simple understanding on story ya YONA.
Yona ni mjumbe (Nabii) na alikuwa na ujumbe, kosa lake alikimbia assignment ya kupeleka ujumbe Tarshishi
Yona alipotupwa baharini na bahari kutulia alienda Nchi ya Ninawi na kupeleka ujumbe, ujumbe wake ukasikizwa na watu wakatubu na kuyaacha mabaya na nchi yao haikuangamia na ghadhabu ya Mungu.
Kama kuna somewhere Merikebu mambo hayako shwari,si kosa la Captain au wafanyabiashara ku-overload merikebu, but rather ni Yona kukimbia assignment. hicho tu.