Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,183
Mm naona hamjamuelewa kabisa, kama hujaelewa ni bora ukatulia kuliko kujibu usichokielewa..Kwanza utubu dhambi ya kupotosha Neno la Mungu katika umma huu wa Jf. Usipotubu hukumu ijuu yako.
Wale wasafiri wengine chomboni na Yona waliomba kwa miungu yao na haikufua dafu kutuliza dhoruba iliyoitishwa na Mungu Mkuu nawa Kweli wa mbinguni. Mungu wa Ibrahim, Yakobo na Isihaka.
Jina la Yona lilipatikana kwa kupiga ramli
. Yona aliwatamkia wazi mimi ni myahudi ninaye Muamini Mungu wa kweli wa mbinguni ambaye na ukimbia uso wake.
Yona hatimaye alifika ni Ninawi/Leo Spain na alifikisha ujumbe wa Mungu na watu wake walipona. Wale waliodhani wamepona kwa kumtosa Yona baharini walipotea maana waliendelea na hasara kuu isiyo wezekana kurecover ya kuabudu miungu yao licha ya hasara za kutosa mizigo bahari.
Tanzania hatutaki kurudi huko Tarshishi, huko kwenye ufisadi uliotamalaki na kuongozwa na timu ya wavaa mipete ya bahati, za waganga, za wapiga ramli na waganga wa abudu mapepo eti wanazunguka nchi zima kulogea mambo ya tulie. Tuko na Yona kama ilivyo kupendeza kumuita eti ukifikiria ni kumdhihaki na kumkejeli tunaelekea Ninawi yetu tutaponea huko Miili na Roho zetu..
Mwandishi anazungumzia dhahama ikiyowakumba wasafiri huku ikisababishwa na Yona..
Ni ANALYSIS nzuri sana, tena sana ila iko out of context kwa tafsiri rasmi kwa yeyote anaesoma biblia with simple understanding on story ya YONA.
Yona ni mjumbe (Nabii) na alikuwa na ujumbe, kosa lake alikimbia assignment ya kupeleka ujumbe Tarshishi
Yona alipotupwa baharini na bahari kutulia alienda Nchi ya Ninawi na kupeleka ujumbe, ujumbe wake ukasikizwa na watu wakatubu na kuyaacha mabaya na nchi yao haikuangamia na ghadhabu ya Mungu.
Kama kuna somewhere Merikebu mambo hayako shwari,si kosa la Captain au wafanyabiashara ku-overload merikebu, but rather ni Yona kukimbia assignment. hicho tu.