britanicca
Platinum Member
- May 20, 2015
- 18,060
- 47,005
GEE2PATEL
Maneck hata sijawahi msikia.Anadeal na nini hasa?1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen
Source: T.R.A Revenue 2017/2018
Hivi mtu ukishakua na lets say trillion 2 bank, unataka nini tena hapa duniani?
Tuongee seriously..
Kweli Kabisa mkuuHawa wenzetu wana umoja sana, kuchangiana mitaji kwao kawaida sana, akikopa mmoja akishindwa kurejesha wanamlipia,
Sio sisi waweza ona fursa tena ya kueleweka lkn hata ndugu au jamaa yako hawezi kusaidia hata ushauri tu anaona unafaidika.
Orodha ya wachelewaji[emoji1] [emoji1]Wangeweka na tarakimu tuone nani anamiliki nini haya mambo ya kutaja majina tu kama orodha ya wachelewaji doesn't make sense.
Kumbe anauza hadi mapanga...That makes sense, ila kung'ang'ania kuuza hadi mapanga ili kuwauwa wachuuzi wadogo na kuwaua kabisa huku ukilipa wafanyakazi 130,000/= ili utajirike zaidi doesn't make sense
Ushamchongea , lazima atekwe na wazungu wawili .1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen
Source: T.R.A Revenue 2017/2018
Yanaitwa Mo panga, nilileta uzi wa kulalamikia hujuma hiyo ya mapanga anayofanya Mo, uzi ukafutwa hapo hapoKumbe anauza hadi mapanga...
Yaanaitwaje? Moo Mapanga au?
Wanawake wa kibongo inabidi tupambane sana tuingie kwenye list aisee..
Wanaume wa Darisalama mpunga upo asee, wale jamaa wanaokaa wiki bila kuoga siwaoni kabisaa kwenye list.
Wewe ungetudanganya mmiliki ni Riz 1!hao unaowaita tra cjui wamekula ndumu za wapi wanadanganya watu edha awadhi ndio mmiliki wa lake!!
naona ume specify kabisa ndugu zako! Hawa Ndugu wawili wa mlimani wameshaonyesha njia! Wangepatikana wengine wawili kutoka mara,wawili kigoma,wawili geita,wawili ---- basi ingekua hamna namna zaidi ya kuongoza kwenye list.Hapo hata ukipanga list ya watu 1000 bado utaona list imetawaliwa na wahindi na waarabu. Ni hatari sana uchumi wa nchi ukiwa kwenye mikono ya hawa jamaa..
Tiss hebu fanyeni research muishauri serikali nini kifanyike matajiri wawe weusi kutoka masasi, Geita, Musoma nk.
Hoja yako inabebwa nanadharia gani kiongozi....!?Hali halisi mkuu
Hayo maneno ya sisi waafrika? Sisi na nani? Tuko vizuri na tunamshukuru Mungu hiyo rada imetupitia kushoto. Tunapiga hela kimyaaaaa kimyaaaaaWabongo tumemezwa na hawa maadui
-roho mbaya,
-wizi, na
-ubinafsi
Hao waarabu na Wahindi wanawaandaa watoto wao tangia wakiwa wadogo biashara ukienda kwenye maduka ya wahindi mtoto akitoka shuleni unamkuta yupo dukani na baba/mama yake tofauti
Sisi waafrika unamkuta baba/mama anakomaa na biashara yake hadi anakufa watoto hawajui A B C za biashara mwisho ndiyo kuanza kugawana mali,
Ss tunawaza sana starehe zaidi ya kazi,
Tunawaza baba atakufa lini turidhi mali...
Ss waafrica sijui tupoje akii
Hivi inakuwaje kuwaje hii lakini, shida huwa ni nini? Ni kweli kwamba hao waarabu wanabebwa na historia ya familia zao tu (urithi) au ni wametuzidi akili kiasi tukianza wote sifuri bado watatuzidi tena baada ya miaka kadhaa? Tusaidiane, tatizo ni nini?
Aliyekuambia anafurahia nani mbona watu huwa hampendi kusikia ukweli haya basi wasukuma na wachagga ndiyo wanashikilia uchumi wa tanzaniaUnafurahi sana hao uliowataja kushika uchumi badala ya hilo kabila?
Ndugu zetu waislamu ndio matajiri nchi hii...ni juzi tu tulibishana mahaliKwa hiyo?
Duuh,.Hahahaaa hawa wadangaji ndio waingie kwenye list..