Yogesh Maneck tajiri namba 1 Tanzania

Yogesh Maneck tajiri namba 1 Tanzania

kama ni utajiri wa hela bas hapo hakuna wa kumfunika sabodo,
ova.
 
Very inspiring kuona na watanzania wenye asili ya Africa wakipepetana league na watanzania wenye asili za bars la Asia....
Hongera kwao na wote
 
Nilidhani ingependeza zaidi kama ingekuwa
1.) Ally Hassan Mwinyi
2.) Benjamini william Mkapa
3.) Jakaya Mrisho Kikwete
4.) Andrew Chenge
5.) Edward Lowassa
Naamini siasa inalipa kuliko biashara
Inaonesha ni jinsi gani wanasiasa wanavyopiga pesa halafu hawalipi kodi!
 
1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen

Source: T.R.A Revenue 2017/2018
Dr. Shika umemuacha kwa chuki zenu.
 
Watekaji nimeona list hiyo, kazi kwenu na sisi tuambulie hizo bilioni moja, ya Mo tumeikosa Ila bado hatujakata tamaa.
 
Hawa wenzetu wana umoja sana, kuchangiana mitaji kwao kawaida sana, akikopa mmoja akishindwa kurejesha wanamlipia,
Sio sisi waweza ona fursa tena ya kueleweka lkn hata ndugu au jamaa yako hawezi kusaidia hata ushauri tu anaona unafaidika.
Hichi unacho kiongea ni ukweli mtupu...nimekishudia kwa macho yangu mawili kabisa
 
Hawa wenzetu wana umoja sana, kuchangiana mitaji kwao kawaida sana, akikopa mmoja akishindwa kurejesha wanamlipia,
Sio sisi waweza ona fursa tena ya kueleweka lkn hata ndugu au jamaa yako hawezi kusaidia hata ushauri tu anaona unafaidika.
Tunaitiana fursa za kipigaji kama forever living, Qnet na Kamari, hizo ndio tunaitiana..
 
Hii wametoa ili kufunika jambo fulani.
Maana kuna kagazeti majuzi kalimtaja No Dewj ndo tajiri nambari moja Tanzania.
Kafungue Forbes utaona matajiri kumi Tanzania iliyotoka mwezi october mwaka huu, hiyo ya TRA inaangalia makusanyo ya kodi kutoka kwa makampuni ya hao matajiri ndani ya nchi.
Hao matajiri wengine wana makampuni uganda, kenya rwanda, south Africa, Marekani, nk. Ambako TRA hawafiki. Zisikuchanganye hizo takwimu za TRA.
 
1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen

Source: T.R.A Revenue 2017/2018
Yule Mhindi Muislamu Zakaria simuoni hapo?!
 
1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen

Source: T.R.A Revenue 2017/2018
tupe link mkuu
 
Tukiambiwa uchumi wa nchi umeshikiliwa na "wahindi-waarabu wa Tanzania" tukubali tu.
Hilo mbona halina ubishi mkuu ila kuna kabisa 1 hujigamba ya kuwa wameshikilia uchumi wa nchi hii ili hali ukiangalia viwanda vingi ni hao wahindi na waarabu migodi wazungu
 
Back
Top Bottom