achana na hao wanaowagharamikia pesa forbes waje tz wafanye vipindi na wao kwa pesa ili iwabust ki biasharaKafungue Forbes utaona matajiri kumi Tanzania iliyotoka mwezi october mwaka huu, hiyo ya TRA inaangalia makusanyo ya kodi kutoka kwa makampuni ya hao matajiri ndani ya nchi.
Hao matajiri wengine wana makampuni uganda, kenya rwanda, south Africa, Marekani, nk. Ambako TRA hawafiki. Zisikuchanganye hizo takwimu za TRA.
Tajiri namba moja kijanaHii wametoa ili kufunika jambo fulani.
Maana kuna kagazeti majuzi kalimtaja No Dewj ndo tajiri nambari moja Tanzania.
Unachopaswa ni kugawa nusu ya utajili wako kwa maskini na kulobby Mungu uingie kwenye uzima wa milele.Hivi mtu ukishakua na lets say trillion 2 bank, unataka nini tena hapa duniani?
Tuongee seriously..
MaliHuyu massawe anamiliki kitu gn
That makes sense, ila kung'ang'ania kuuza hadi mapanga ili kuwauwa wachuuzi wadogo na kuwaua kabisa huku ukilipa wafanyakazi 130,000/= ili utajirike zaidi doesn't make senseUnachopaswa ni kugawa nusu ya utajili wako kwa maskini na kulobby Mungu uingie kwenye uzima wa milele.
Bill gates and Melinda wanafanya hili.
Unafurahi sana hao uliowataja kushika uchumi badala ya hilo kabila?Hilo mbona halina ubishi mkuu ila kuna kabisa 1 hujigamba ya kuwa wameshikilia uchumi wa nchi hii ili hali ukiangalia viwanda vingi ni hao wahindi na waarabu migodi wazungu
🤣🤣Muda mwingine nashindwa kuwaelewa Watanzania wenzangu.....
Yaani mtu anapingana hata chanzo cha taarifa hali ya kuwa yeye hana chanzo chochote cha taarifa zaidi ya hisia zake tu.....
Mtu anaweza kukubishia kuwa fulani sio tajiri kwa kuwa yeye hana taarifa yoyote kumhusu tajiri!!!!....
Ushaaanza unatakà umkasirishe mwenye nchi yake.Head down! Nimefarijika kuona ndugu wawili wakituwakilisha sisi Waafrika wa Tanganyika!! Hongera Mengi &Massawe!
Hisia zako au ni hali halisi.!??Nilichogundua ni kwamba watu wandhania MO ndio tajiri namba moja.. ila ukweli ni kwamba Tajiri no. 1 kwa VIJANA.. MANECK ndio tajiri no moja TZ haina ubishi..
Hapo wakijumlisha na walizokwepa nadhani watabadilishana positionHii ni orodha ya matajiri au orodha ya walipa kodi wazuri..!!?
Umenichekesha mno walahi[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahahaha
Pumbaf mkubwa wewe mimi siamini kupewa pesa na mwanaume hata siku mmoja walahi
Mola wangu ndio mpaji wangu walahi
Sasa kama wewe limwanaume liziima ndio kazi yako kwa mababu hao kazi unayo walahi
Tena mzenji oooh umekwishney idiot wewe walahi
Hali halisi mkuuHisia zako au ni hali halisi.!??