MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 6,230
- 3,942
Nimegoogle mbona haitwi hivyoNi mmoja wa wamiliki wa exim bank(T),Chemi&Cotec etc
Nimegoogle mbona haitwi hivyoNi mmoja wa wamiliki wa exim bank(T),Chemi&Cotec etc
Anaitwa Yogesh Manek,the boss wa MAC GROUP.Nimegoogle mbona haitwi hivyo
Data zako zina mapungufu makubwa. Tra hakuna kitu kama hicho.1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen
Source: T.R.A Revenue 2017/2018
Hivyo hivyoAnaitwa Yogesh Manek,the boss wa MAC GROUP.
Umeona anaitwa nani mkuu.
We endesha bajaji yako vzr tu,masuala ya kutishana kaburi ni namna ya kujipa moyo kwa maskini.Mo analipa wafanyakazi wake 130,000.
yeye hula milo 3 nao pia mitatu.
wote hawa kaburi ni 6 x 3 na hukumu iko palepale. Ngoja niendelee kuendesha bajaj yangu
Benson ni mdogo sana kwa arusha wapo wahindi wana chapaa wacha kabisa.yupo lodhia group na Mount meru hao ni nyoko pale town.Benson wa Arusha list yake ni ipi?
Baada ya kutekwa ameshuka kuwa wa 5?1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen
Source: T.R.A Revenue 2017/2018
Were kumbe ile Ernest and young ni ya huyhmh jamaaa!!!!!!!!!!!!swala energy, akiba commercial bank ernest and young anamigodi geita na huko mererani
Kwahiyo utateseka duniani na huko kuzimu.. chagua raha mojaMo analipa wafanyakazi wake 130,000.
yeye hula milo 3 nao pia mitatu.
wote hawa kaburi ni 6 x 3 na hukumu iko palepale. Ngoja niendelee kuendesha bajaj yangu
Sasa ulitaka na abood awepo?Wealth vs. Revenue/Turnover??
Balance sheet vs. Income statement??
Your source of data is not reliable. It collects and publish information about individual's turnover, not asset. While turnover changes overtime and measured in a specific period of time; monthly, quarter annual (flow variable), asset is a cummulative variable that takes into account all accumulations since the begining of business. Hence asset is a good measure of wealth (utajiri).
Ukitaka kupima utajiri (wealth) angalia asset (balance sheet) sio income statement wanayoangalia TRA ili wakate kodi ya mapato. Unaweza kuwa na mapato makubwa na bado usiwe tajiri zaidi depending on how much assets ume accumulate.
Aisee,naona ulidanga kwake ukitarajia kupewa discovery 5...asubuhi yake ukaishia kupewa nauli ya bajajNumber 8 NO WAY walahi
Hata kwenye 100 hayupo Salim Turky, kachacha kama mwendawazimu walahi
Hana pesa kabisa walahi
Acha kujifariji weweMo analipa wafanyakazi wake 130,000.
yeye hula milo 3 nao pia mitatu.
wote hawa kaburi ni 6 x 3 na hukumu iko palepale. Ngoja niendelee kuendesha bajaj yangu
HahahahaAisee,naona ulidanga kwake ukitarajia kupewa discovery 5...asubuhi yake ukaishia kupewa nauli ya bajaj
Hivi mtu ukishakua na lets say trillion 2 bank, unataka nini tena hapa duniani?Ni mmoja wa wamiliki wa exim bank(T),Chemi&Cotec etc
Weusi wawili tu !Makubwa! Halafu ccm eti wanasema ni chama cha wanyonge!Ama kweli ni chama cha wanyonge maana kimetufanya wanyonge toka uhuru!1. Yogesh Maneck
2. Said Salim Bakhressa
3. Jayesh Shah(Sumaria group)
4. Rostam Aziz
5. MO Dewji
6. Yusuph Manji
7. Galib Said Mohamed(GSM)
8. Salim turky
9. Mustapha Sabodo
10. Reginald Mengi
11. Jeetu Patel
12. Ally Edha Awadhi(lake oil)
13. Ernest Massawe
14. Munif (Oilcom)
15. Fidal hussen
Source: T.R.A Revenue 2017/2018