Yogesh Maneck tajiri namba 1 Tanzania

Yogesh Maneck tajiri namba 1 Tanzania

naona ume specify kabisa ndugu zako! Hawa Ndugu wawili wa mlimani wameshaonyesha njia! Wangepatikana wengine wawili kutoka mara,wawili kigoma,wawili geita,wawili ---- basi ingekua hamna namna zaidi ya kuongoza kwenye list.

hahahhaha namaanisha, wamakonde, wamawia, wakwere, wazaramo, wandengereko, wadigo, wachaga, wameru, wanyakyusa,wasafwa, wakinga, wabena, wasukumu, wajita, wakulya WEUSI WATANZANIA SIO WAKUCHOVYA.
Muarabu na Muhindi hata azaliwe IGUNGA au KYELA na kukwambia yeye Mtanzania huwa ni maneno tu na lengo kuu ni kupata unafuu ili watuibie vizuri huu ndio ukweli ila wakikaa wenyewe kwenye vikao wanamambo mengi sana ya siri na mioyoni mwao hutudharau sana huu ndio ukweli. Mijitu yetu kwenye Serikali inapokea sana rushwa kutoka kwa hawa jamaa na kukandamiza haki za wazawa ili tu Mhindi na Muarabu anufaike.
 
Wahindi na Waarabu wanamiliki viwanda na biashara nyingi sana Tanzania lakini maajabu yake sasa huko kwenye biashara zao ni kama uko nchi nyingine maana hali ni mbaya sana kwa wafanyakazi watanzania, USALAMA KAZINI NI ZERO, MISHAHARA MIDOGO, MANENO MENGI YA UNYANYASAJI, watu wetu kwenye serikali pamoja na yote hayo wamewabeba hawa watu kwenye upande huo na kwenda mbali zaidi kwa kuwapa miradi mbalimbali kwa kupokea rushwa na kuwapa hata maeneo kama viwanda vya zamani ambavyo vimefanywa magodown, maeneo ya ardhi makubwa ambayo yametumika na yanatumika kuchukulia mikopo kama bond kwenye mabenki ya nje huku mtanzania huyu amepokea Rushwa na kujenga Nyumba Mbezi beach na kununua li V8 ambalo hujazwa mafuta na wahindi hawa hawa ili akandamize weusi wenzie.

Kupata utajiri kwa hawa watu Tanzania ni rahisi sana maana anaweza kuwa na Nguvu kazi anayoilipa malipo madogo, akawa hatumii gharama zozote kulinda usalama wa wafanyakazi na mali zinazozunguka, mali ghafi anapata hapahapa kwa gharama ndogo na nyingine anaimport kwa kutoa rushwa bandarini pale na mwisho kabisa bidhaa anayozalisha huenda kwenye soko hili hili la ndani kwa bei kubwa ambayo yeye ndiye anaamua na kinachozidi anasafirisha nchi jirani ambazo nazo masikini kwa kutoa rushwa na kukwepa gharama za export KWANINI ASIWE TAJIRI MTU HUYU.
 
hahahhaha namaanisha, wamakonde, wamawia, wakwere, wazaramo, wandengereko, wadigo, wachaga, wameru, wanyakyusa,wasafwa, wakinga, wabena, wasukumu, wajita, wakulya WEUSI WATANZANIA SIO WAKUCHOVYA.
Muarabu na Muhindi hata azaliwe IGUNGA au KYELA na kukwambia yeye Mtanzania huwa ni maneno tu na lengo kuu ni kupata unafuu ili watuibie vizuri huu ndio ukweli ila wakikaa wenyewe kwenye vikao wanamambo mengi sana ya siri na mioyoni mwao hutudharau sana huu ndio ukweli. Mijitu yetu kwenye Serikali inapokea sana rushwa kutoka kwa hawa jamaa na kukandamiza haki za wazawa ili tu Mhindi na Muarabu anufaike.
Asante kwa kunisaidia kuweka sawia!
 
Wekeni na maelezo ya vitu wanavyomiliki la sivyo yatabaki majina tu na watanzania tutabaki watu wa kutokuwa na uhakika na mambo tunayoaona.
 
Back
Top Bottom