Wakazi wa Pemba wangekuwa si wavumilivu, Hunafikiria matokeo yangekuwa vipi?Ndugu wacha kuharibu picha nzuri ya nchi yetu -- tanzania ni moja , ina amani upendo na utulivu haijawahi kuwa na mchafuko wala kuzalisha askari wadogo wapiganaji please respect our country and its people
Hivi wewe unaelewa kiswahili...!?Wavumilivu kivipi ? Wale ni watanzania hakuna kitu kinachoitwa pemba sasa hivi kwahiyo futa hilo neno la wapemba
Wakazi wa Pemba wangekuwa si wavumilivu, Hunafikiria matokeo yangekuwa vipi?
Ndugu wacha kuharibu picha nzuri ya nchi yetu -- tanzania ni moja , ina amani upendo na utulivu haijawahi kuwa na mchafuko wala kuzalisha askari wadogo wapiganaji please respect our country and its people
Ndugu wacha kuharibu picha nzuri ya nchi yetu -- tanzania ni moja , ina amani upendo na utulivu haijawahi kuwa na mchafuko wala kuzalisha askari wadogo wapiganaji please respect our country and its people
Si ndio hao wanasiasa wanawahutubia raiya, wanawaambia wasimike bendera wasalimikeHivyo vyote hamna mkuu, labda kama kwako kutokuwa na amani ni vita tu!
haki huondoa machafuko, nchi nyingi zilizokuwa na amani ilitoweka ghafla!
ukishika silaha unajiona 'rambo' ati kesho unatamai tena ushike, TUSIOMBEE VITA ITOKEE, ILA 'AMANI' HAIPO NCHI HII!
Ndugu wacha kuharibu picha nzuri ya nchi yetu -- tanzania ni moja , ina amani upendo na utulivu haijawahi kuwa na mchafuko wala kuzalisha askari wadogo wapiganaji please respect our country and its people
matatizo kama haya ni rahisi kutokea nchi yoyote na sababu kubwa inatokana na kutokuwepo na utawala bora unaozingatia haki na usawa wa raia wote, na mara nyingi fujo kama hizi ahzisababishwi na kitu kikubwa kunakuwa nan mrundikano wa matatizo ya muda mrefu,na inafikia watu kuchoka kwa hiyo ka-kisa kadogo tu kanasababisha fujo kuu
kujibu swali lako kwa sasa Tanzania hali hii kutokea ni rahisi sana, kwani watu wameshachoka kupita kiasi maisha ya Tanzaznia kwa sasa ni magumu mno, haki na usawa hakuna hata kidogo, utawala wa sheria nao ndio zero kabisa, uwazi kati ya maskini na matajiri ni mkubwa sana, kwa mtazamo wangu mimi naona imeshamwaga inasubiri mtu atupie njiti ya kibiriti tu na biashara ianze
Kwani hao wamemkkosea nini MUNGU na wewe Mtanzania umemfanyia nini uwe bora kuliko wao.Ndugu wacha kuharibu picha nzuri ya nchi yetu -- tanzania ni moja , ina amani upendo na utulivu haijawahi kuwa na mchafuko wala kuzalisha askari wadogo wapiganaji please respect our country and its people
Ni Output ya mfumo kandamizi,usiyojali maslahi ya umma(majority),mfumo unatukuza tabaka fulani na kulipa upendeleo wa KUKUSANYA kwa mbinu zozote.Kwani hao wamemkkosea nini MUNGU na wewe Mtanzania umemfanyia nini uwe bora kuliko wao.
Hayo unayoyaona hapo juu ni OUTPUT.