Yaweza Kutokea TZ? (Disturbing Pictures)

Binadamu anazaliwa akiwa innocent (ukiacha dhambia ya asili), hayo mambo yanatengezwa na utawala mbovu, unequal distibution of resources, choyo, ubinafsi, ufisadi na mengine mengi. Tusijione kisiwa, mambo hayo hutokea popote, let keep our house clean.
 
Mkuu unapoonyesha hizo picha usitaje Tanzania. Hayo matukio ni laana na Tanzania hatujallaniwa kiasi hicho.

Nakuunga mkono kabisa. Pamoja na kuwa sikubaliani na tabia ya kuwagandamiza wengine lakini pia sikubaliani na wenye mawazo duni ya kutumia nguvu kupata kile wote tunachokitamani. The mouth speaks what the heart has. The evil tree can not bear good fruits let us not think of these evil things there are better ways of getting to our destiny and if u do ur part faithfully surely the situation will change from what we have to a better state. Acheni kuilaani nchi yetu na kamwe hatutakubali iwe hivyo we will use the right weapons to fight as we already have experience on that; the foundation which was laid by the founders of these nations. We are unique; perculiar people not found any where in this world; blessed are we and blessed shall we remain. No weapon fassioned against us shall prosper; for sure a thousand shall fall on our left side and ten thousands on our right side.
 
...Mkuu, Nadhani pia inapaswa kuwa 'DISTURBING' Pictures na sio DISTURBED Pictures.
 
kwa hali inavyoendelea hapa Tanzania..maendeleo hayatapatikana mkapa kitu kama cha kwenye picha kitokee.kikundi kidogo cha watu kimetaka uchumi wa nchi nzima wakiwaacha waliobaki kwenye lindi la umasikini.hali ikizidi kuwa mbaya na akitokea mtu wa kuwafumbua macho watanzania wengi masikini basi si ajabu watu wakaingia msituni na hivi bunduki uko burundi ni bei poa tusubiri tu.
 
ukiangalia mazingira yaliyochochea vita kwenye nchi hizi,hata hapa yapo tu tatizo watu tuna nidhamu ya woga
 
Nakuunga mkono kabisa. Pamoja na kuwa sikubaliani na tabia ya kuwagandamiza wengine lakini pia sikubaliani na wenye mawazo duni ya kutumia nguvu kupata kile wote tunachokitamani. The mouth speaks what the heart has. The evil tree can not bear good fruits let us not think of these evil things there are better ways of getting to our destiny and if u do ur part faithfully surely the situation will change from what we have to a better state. Acheni kuilaani nchi yetu na kamwe hatutakubali iwe hivyo we will use the right weapons to fight as we already have experience on that; the foundation which was laid by the founders of these nations. We are unique; perculiar people not found any where in this world; blessed are we and blessed shall we remain. No weapon fassioned against us shall prosper; for sure a thousand shall fall on our left side and ten thousands on our right side.

Such a nice optimistic utopian piece. Hata hivyo kinyume cha uliyoandika ni rahisi pia. Jambo kubwa ni UTAWALA WA SHERIA. Bila hili maelezo yako hapo juu ni almost null and void.

Sheria zinazolenga kuwaadhibu wezi wa kuku pekee na wale wa BoT kujengewa VIP rooms Keko na baadae kuachiwa kwa kukosekana evidence kila mara wanapofikishwa mahakamani ni moja ya jambo litakalo tufikisha kwenye picha za kuhuzunisha kama hapo juu. Kwani miaka minne iliyopita ungeambiwa kuwa Kenya watakuja kukatana mapanga ungelikubali?

The evil tree is a product of evil seeds. Eliminate these seeds in first place and it shall not bear evil fruits, you wouldn't have one. At the moment, those are mere pictures from a distant place so we would like to believe. If we are wise enough, then we would learn something out of them and prevent occurrence of the same on our soil. If we act clever, then we shall have an added task to uproot evil seedlings to retain good ones - the trigger of horrifying events such as those depicted in pictures above for most places being Uchaguzi.

The founding members of the nation are almost extinct. The majority of the remaining few chose the ufisadi way along the way. The perceived value of hard work they offered is therefore tainted. We would like to think we are unique and peculiar when it comes to protecting and defending our peace and sovereignty; the question is how, if the rule of law is applied selectively and hardly maintained.

SteveD.
-------------------

Kevo, welcome back!
 
Tafauti kubwa baina ya mauwaji hayo tunayo yaona ndani ya picha na yale ayaliyotokea pemba ni kuwa yale ya pemba yalikuwa yameridhiwa na serekali yafanyike na jeshi lilifuata amri hiyo.
 
Amani, upendo na umoja vilikuwa ndani ya jeneza la muaasisi wa Tanzania, marehemu baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Siku alipozikwa na radi ikapiga sana kule Butiama na sifa hizi za Tanzania zilizikwa naye!!! Taratibu the opposites of these attributes are germinating, it is about to be a seedling, plant and finally a treee!!! Tusiombe viwe tree. Tusiombe tuishi maisha ya Darfur, Sierraleone, DRC, Rwanda and Brundi, Uganda, you name all without forgetting the Mungiki. Sasa basi kwa nini hawa akina Aka-nzu wanatupa shida na kuharibu the best attributes which has placed Tz among the peacefully world destinations!!!!?? Inaniuma!!!
 
naona kuna watu wanaomba mungu atuepushie hili balaa, lakini ukiangalia kiundani ni kama tunakufuru mungu tu, wewe unaomba hili balaa lisitokee kwa kinywa chako, lakini kinywa hicho hicho kinalaani na kuwaombea wafe viongozi na wote wanaohusika kumnyima mwanano shule nzuri, wanaohusika kukunyima chakula kizuri cha rakaa tatu, wanaousika kukunyima matibabu stahili kwa wewe na familia yako, wanaohusika kukufanya ukakae mabondeni kusikokuwa na uhakika wa maisha hata ya masaa mawili yajayo, sijuhi mungu akusikilize wapi?
mungu alishatujalia neema kubwa sana katika hii nchi na ni kwa faida ya wote, lakini kuna watu wasiozidi laki tano ambao wanakula mali zote za watu karibu milioni 40.
Fujo uwaga zinakuja baada ya kukata tamaa na hakuna mtu anyekusikiliza wala kukusaidia na ndio mwisho inakuja ile roho ya bora nife, lakini nife kwa faida ya kizazi kijacho,
dalili zote za kutokea hii hali zipo,

"ni mawazo yangu tu mjomba"
 
Yasitokee wakati uonevu unazidi kuongezeka? Rejea mapambano ya polisi wilayani meru na wanakijiji kwenye shamba la mheshimiwa Kimaro. Hiyo ni trela tu na kama hatujarekebisha kasoro hizo ndogondogo huku watu wenye uchu wa madaraka tukiwaacha wakiendelea kupeta kwa pesa walizowaibia watanzania, sijui tutegemee miujiza gani ya kutuokoa na majanga hayo
 
Amani ni tunu ya kufanyia kazi. Inapatikana panapokuwepo haki, upendo, mshikamano. Yanapokosena hayo, basi the Law of the Jungle inachukua nafasi. Hapa kwetu TZ sasa kuna nyufa nyingi ambazo taratibu zinaweza kutufikisha kubaya. Viongozi wetu na sisi raia tujenge haki na uadilifu kati yetu ili amani iendelee kuwepo na pale ambapo nyufa zimeanza kuoenekana tuzizibe.
 
hizi picha za Liberia. nazijua sana.nchi za kule ubabe wa kijeshi ndio unopelekea nchi kupasuka. nchi nchi nyingi za africa magharibi zina mfumo wa kitawala wa kijeshi. hapa bongo hakuna misingi ya kitawala ya kijeshi
 
Kuna majinamizi yanaitwa OIC na Mahakama ya Kadhi. Haya mawili yananyemelea amani na mshikamano wa watanzania. Hakuna vita vibaya visivyoisha kama vya kidini. Angalia Middle East amani imeshindwa kupatikana kwa kuwa vita vyenyewe, japokuwa vinazungumzwa na kujaribiwa kutatuliwa kisiasa lakini ni la kidini. Serikali kama inataka kuwagawa watanzania na kuleta machafuko mabaya iendekeze udini na kuvunja Katiba ya nchi!
 
Daah...wacha nife njaa kuliko kwa maafa ya aina hii, unajua kuna watu wanasikia tu madhara ya vita ndo maana wanashabikia, nafikiri tukivunja ukimwa kama huu tunaweza kurekeshana kwenye mstari kwa njia nzuri zaidi hasa watanzania. Eti ooh tutaingia porini kama tukikosa ikulu...sasa huko porini waenda kumuinda nani, matokeo yake ndo hayo. Tuamke watanzania tuache kushabikia wanasiasa, wenzetu wa ulaya walishafanya uamuzi huo long time sana na ndo maana wakina bush na obama bado wanaitana Mr. president.

Tatizo la nchi zetu za Afrika...watu wanainda sana, inawezekana ni njaa ndo inayotufanya tugombee mkate huu ila sisi wananchi lazima tujue kuwa likibuma tutalisukuma sisi wenyewe kwa viganja vyetu kama hao waletwa na mdau. Inaumaa sana kuona eti tunachukiana kwa kuwa mimi CUF na yule CCM, hatuzikani, hatushereheshani and all for what? One selfish politician does not want to let it go. Please my fellow I argue u all to stand behind peace and prosperity.
 
Kuna majinamizi yanaitwa OIC na Mahakama ya Kadhi. Haya mawili yananyemelea amani na mshikamano wa watanzania. Hakuna vita vibaya visivyoisha kama vya kidini. Angalia Middle East amani imeshindwa kupatikana kwa kuwa vita vyenyewe, japokuwa vinazungumzwa na kujaribiwa kutatuliwa kisiasa lakini ni la kidini. Serikali kama inataka kuwagawa watanzania na kuleta machafuko mabaya iendekeze udini na kuvunja Katiba ya nchi!
Ukitaka hayo yasitokee, waambie hao viongozi wako wanao jaribu kurudisha nyuma juhudi za mlalahoi kujikwamua kutoka kwenye makucha ya Ma-Fis-adi. Kwa kuwaambia kuwa uongozi wa nchi hii ni chaguo la Mungu.

Unafikiria ni vipi muumini mkereketwa mwenye kufanya jitahada za kujikwamua kiuchumi anapo nung'unika kuhusiana na hali mbaya ya uchumi na wewe kiongozi wake wa dini anayekutegemea umkomboe kimwili na kiroho unamwambia kuwa uongozi wa nchi hii ni CHAGUO LA MUNGU,
ni nini manake?
Maana yake hasiupinge uongozi huu (Maana ni chaguo lake Yehova), akubali tu matokeo, kesho na kesho kutwa, utamfundisha tena kumpata chaguo lingine la Mungu, na mambo yataendelea hivi hivi mpaka pale atakapo amka na kuamua liwalo na liwe.

Dalili zinaonekana, maana inaonekana kabisa kuna watu wamechoka na hali hii ya amani na upendo...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom