Mwambie kweli mimi na kupepesa kwangu macho muda wote hapa MMU nitaacha kuupitia kweli huo uzi? Au ndo ananitafutia sababu tu? Mimi siyo kusugua tu, hadi kuosha naosha. Viwango ni vya kimataifa.
nenda kasome post #71
Haya Ruta malenga wetu ila uliyoandika ni ya kweli.Nautamani sana mchango wa Preta, Ciello,gfsonwin, FirstLady, Wiyelele(ingawa siku hizi kaingia mitini)lara1 atatibua,labda The Boss,Nyani Ngabu yeye ni Lawyer kwa hili mtu anawezasumbuka akili akijibiwa naye, Bujibuji sawa, kongosho a.k.a Triplex atakaanga mtu hapa. Ngoja niwe mpole nisijeumbuka.
gfsonwin thamani naikumbuka lakini ukipenda nifanyaje zaidi ya kukuruhusu tu...................