Asiwe na hofu kabisa. Atafurahi mwenyewe.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Last edited by a moderator:
wanaopeana migongo kwan vip??
kina fulan wepi?? khalagabaho babuuu!Mimi nilidhani ni wakina fulani. LOL!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kina fulan wepi?? khalagabaho babuuu!
baraza inahusu hapa ukumbuke..............!!!
Nikiwataja hao kina fulani nitapewa mipasho hapa siku nzima halafu niumbuke bure mtoto wa kiume.
Inamaa Rutashubanyuma hajakupa jibu langu la kuhusu baraza hadi muda huu? Au ananionea wivu nini?
Yani mshenga nimekuamini sasa hivi unanigeuka. Kweli nimeamini, binadamu mpe hela atakufikishia lakini siyo wa moyoni.
Sumu huyu binti ni wa kwako mimi ni mshenga tu inabidi kwanza umfafanulie kama baraza unalo hadi saa hii unajimung'unyamung'unya tu.......
nahisi ndimu yake haikozi babuuu..............
anashndwa kujiamini kwenye key bod ataweza faraghani?
Mimi nimekosa imani na wewe mshenga. Wewe ni utakuwa mshenga wazima taa (LOL!). Jamani eeeeeeeeeeeeh! Naombeni msaada wa mshenga mwingine pleaseeeee wakuu! Mimi nina baraza, varanda, upenuni na kila kitu.
..Sidhani kama zamani hii mambo ilikuwepo sana kama ilivyo kwa sasa