jamaa ana mkono mfupi huyu baba simuwez ataniapa ugali a masimango mie staki.
Natumia simu baba mkwe na simu inasumbua sana kwenye maswala ya "likes". Wanaotumia simu wanaelewa hii kitu. Hadi nitumie laptop.
gfsonwin nikueleze nini? Kama mshenga mwenyewe kaniacha Sumu kali hajanipa hata "likes" moja kwa jitihada zote hizi nimeishia kulambishwa maneno matupu...........huyu hakufai itabidi tuvute subira..............mpaka aje mwenye sifa zote siyo hii moja ya kukusugua mara mojamoja akijisikia....................
gfsonwin nikueleze nini? Kama mshenga mwenyewe kaniacha Sumu kali hajanipa hata "likes" moja kwa jitihada zote hizi nimeishia kulambishwa maneno matupu...........huyu hakufai itabidi tuvute subira..............mpaka aje mwenye sifa zote siyo hii moja ya kukusugua mara mojamoja akijisikia....................
Sumu lile tangazo la CRDB walikumbuka? Kama huna VISA MASTERCARD hakuna kiswahili ni nenda kajipange upya.............................khalafu utakapokuwa tayari tuma tena posa.....kama keshachukuliwa na wajanja unaandika maumivu..........
Sumu lile tangazo la CRDB walikumbuka? Kama huna VISA MASTERCARD hakuna kiswahili ni nenda kajipange upya.............................khalafu utakapokuwa tayari tuma tena posa.....kama keshachukuliwa na wajanja unaandika maumivu..........
mkono mtupu haulambwi lol!Lawama zote nazielekeza kwako mkwe ndo umesababisha nikamkosa binti yako. Ciello baba yake ni nani?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sumu sema usikike waweza kuulamba mkono wako ambao ni mkavu?
mkono mtupu haulambwi lol!
Mkono wangu unamchuzi, tena wa Kitoga.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
itakuwa ajabu ya nazi kavu kuvunja jiwe atii.
ukishindwa kwa dogo kubwa utaliweza??
Usikilize moyo wako gfsonwin. Tatizo unamsikiliza baba wakati umeshakuwa mkubwa. Nitakutimizia mahitaji yako ya mwilini na moyoni laazizi wangu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
laazizi funua kwanza pochi yaani muda wote huo like hujatoa, basi hata hela ya vocha inashndikana?