Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
Never give up Zamani hawakuwa waangazaagngaza kama siye...............siku hizi macho ni balbu......na shingo za kugeuzwa kama ya kinyonga...................kisa tunawakiana tamaa kupindukia...................
nahisi ndimu yake haikozi babuuu..............
mwambie hivi aingie Lakini kila niliyemsugua aliniuliza hili! kisha ajitathmini lol!
gfsonwin yawezekan akabisa hisia zako zikatokea kinyume chake................hapo ndipo udende utakapokutiririka..............bila ya ukomo kama kile kipindi cha "Matnzania" ambacho nacho kinatamba hakina ukomo.........
Sumu kuna huo uzi ulikwisha upitia na kujipima kama hivyo viwango unavifikia.....................maana hivyo ni vya kimataifa........................nafikiri wasiwasi wa binti yangu gfsonwin ni kuwa asije mbele ya safari akukutupia mgongo ukaanza kulalama kwa kushindwa kuwajibika ipasavyo..................
Sumu kuna huo uzi ulikwisha upitia na kujipima kama hivyo viwango unavifikia.....................maana hivyo ni vya kimataifa........................nafikiri wasiwasi wa binti yangu gfsonwin ni kuwa asije mbele ya safari akukutupia mgongo ukaanza kulalama kwa kushindwa kuwajibika ipasavyo..................
nenda kasome post #71Mwambie kweli mimi na kupepesa kwangu macho muda wote hapa MMU nitaacha kuupitia kweli huo uzi? Au ndo ananitafutia sababu tu? Mimi siyo kusugua tu, hadi kuosha naosha. Viwango ni vya kimataifa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
aaah! baba..............sasa jina lake tu linatisha wataka niseme neno kweli watitakia heri??
baba yangu nakupenda, tena ninakuheshimu
baba yangu nakupenda tena ninakuthamini
baba yangu nakupenda, tena ninakujali
babayangu nakupenda , kwanini unanitega??
sijui nianzeje, ila naomba nifunguke
ili na yeye aje, umwite afunguke.
kijana Sumu asije , niletea dhoruba
baba yangu nakupenda , kwanini unanitega??
Sumu jinalo latisha, hofu yanijaa moyoni
mwenzio naogopa kwisha, uhai ukanitoa duniani
baba muda haujesha, fikiria kwa makini
mwanao nastahili kwenda, kwa huyu kijana Sumu??