Yawaje sasa mwapeana migongo, kulikoni?

Yawaje sasa mwapeana migongo, kulikoni?

Kifarutz Hebu tupe ya kwako nasi tutakupa ya kwetu..........
Ma ana mojawapo ni ile ya kumdharau mtu, vile vile nasikia kama ndani ya nyumba hakuna maelewano btn mume na mke mnalala kila mmoja kugeukia upande wake na mwisho kwa upeo wangu ni ile mwanamke kumpe man 0713... wakati wa ku-do. Sasa mie nilipenda kujua kama kuna maana zingine nyingi na maana halisi ya kumpa mtu MGONGO ni ipi?
 
Ma ana mojawapo ni ile ya kumdharau mtu, vile vile nasikia kama ndani ya nyumba hakuna maelewano btn mume na mke mnalala kila mmoja kugeukia upande wake na mwisho kwa upeo wangu ni ile mwanamke kumpe man 0713... wakati wa ku-do. Sasa mie nilipenda kujua kama kuna maana zingine nyingi na maana halisi ya kumpa mtu MGONGO ni ipi?

Kifarutz....mgongo ni kuwa "Dr. No".........kwa kila kitu siyo kitandani tu.....huko ni mbali sana........
 
Last edited by a moderator:
Ruta, sijui ni mimi tu au na wenzangu pia, kuna wakati najisikia natamani kulala peke yangu kitandani
 
Ruta, sijui ni mimi tu au na wenzangu pia, kuna wakati najisikia natamani kulala peke yangu kitandani


Gaga mara nyingi ni kukimbia matatizo lakini matatizo hayakimbiwi bali ni kuyakabili..........tumeumbwa tuwe wawiliwawili ukiwa mpweke hata maisha yako yatakuwa mafupi...............................
 
Mpatie mbongo flava mmoja atoe single
 
Back
Top Bottom