Yatima inahusiana nini na kujinyonga? mtu miaka 28 unajihesabia yatima?
nilidisco nipo mwaka 3 sikukata tamaa nikarudia upya mwaka wa kwanza! nikatusua vizuri tu.
Kujinyonga ni ujinga upumbafu
Hahahahah kwani wewe unadhani muhimbili uwa wanamaliza wote?? disco zipo za kutosha tu,
Wewe ulisoma kozi gani usijekuwa ulisoma Baed muslimu universty ukajiona kipanga
Kwa kozi kama daktari au Architecture ambazo degree ni miaka mitano, it is likely kwamba mpaka anapata matokea ya kufeli kwa mara ya pili ni kwamba ameshainvest up to 7yrs of his life hapo chuoni, kumwambia aanze upya ni likely atenge tena 5yrs of his life ili jumla iwe 12yrs. Ila kujinyonga sio suluhisho, tupo tumesoma hizo kozi ndefu na kufaulu vizuri ila tunafanya shughuli zingine tofauti, simply because kuna fursa nyingine zenye manufaa zaidi.., so hata alivyofeli bado angetusuaYatima inahusiana nini na kujinyonga? mtu miaka 28 unajihesabia yatima?
nilidisco nipo mwaka 3 sikukata tamaa nikarudia upya mwaka wa kwanza! nikatusua vizuri tu.
Kujinyonga ni ujinga upumbafu
Mabisi ambaye ni mkazi wa mtaa wa Mgeninani, Kata ya Kijichi wilayani anadaiwa kukutwa amejinyonga jana saa saba mchana maeneo ya Mgeninani.
Atakuwa alisoma Law Tumaini university au SAUTIHahahahah kwani wewe unadhani muhimbili uwa wanamaliza wote?? disco zipo za kutosha tu,
Wewe ulisoma kozi gani usijekuwa ulisoma Baed muslimu universty ukajiona kipanga