Sio kweliYoyote anayesomea udaktari na anafeli hatakiwi kuwa daktari, huyu alilazimisha kitu asichiweza
Kakosa vyote sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee nimechekaDah, si angeomba hata Bomu moja akajilipue kule "kikini" ili walau atukomboe watanzania wenzie, hii ni hasara.
Ukiangalia hilo ndio linalokaribiana na reason sio kufeli tu wanabodi wote wanakataa humu,28???? Labda kama katemwa na dem wake af pia kaferi
Sasa utadisco vipi kama una commitment kubwa hivyo unless kuwe na nguvu za giza zikuzuie kukomaa,yeye ndiye ajuaye magumu aliyo yapitia, kumuita/kuita kitendo chake upuuzi mnakosea.
kuna ile unatoka home unaona kabisa namna walivyo uza mashamba, viwanja kwa ajili yako na tumaini pekee likawekwa kwako. huku ukisindikizwa na maneno kasome yaani ukifeli umeiua familia.
inatokea unafeli, unaziona lawama taslimu za ndugu, familia na ukoo mzima. huoni mchongo wa kuzipa gape hauna wa kumshirikisha maswahibu yako hapo r.i.p itakuhusu.
humu wengi mnaongea tu hata kulala njaa hajawahi, mmesomea shule nzuri bila bugudha ya wazazi kuuza kila kitu na kuweka tumaini lote kwako.
acheni haya mambo kama una moyo laini, kitanzi kitahusika tu
Una disco vp duuu...Yatima inahusiana nini na kujinyonga? mtu miaka 28 unajihesabia yatima?
nilidisco nipo mwaka 3 sikukata tamaa nikarudia upya mwaka wa kwanza! nikatusua vizuri tu.
Kujinyonga ni ujinga
Huyu jamaa naona kadisco mara ya pili akajiona ni useless na hopeless kumbe angepata mtu wa kumshauri angekomaa tu kitaa.Yatima inahusiana nini na kujinyonga? mtu miaka 28 unajihesabia yatima?
nilidisco nipo mwaka 3 sikukata tamaa nikarudia upya mwaka wa kwanza! nikatusua vizuri tu.
Kujinyonga ni ujinga
Umeongea neno mkuu...Apumzike kwa amani Ndugu yetu
Kuna watu wanacomment humu as wako perfect 100% hivi mnajua depression,burnout halafu ukose ushauri nasaha mzuri???
Wengi wanacommit Suicide kutokana na Vitu mbalimbali kama vile
Unemployment
Social isolation
Divorce
Kufeli maisha
Msongo wa mawazo uliopitiliza nk
La msingi ni vyuo au ofis zetu kuwa na watu wa ushauri nasaha inapotokea mfanyakazi kafukuzwa au mwanafunzi kafeli mitihani yake basi apewe ushauri mzuri na wataalamu.